Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwenye uhitaji wa mzani wa kupimia wa mawe anicheki PM bei ya kuanzia ni 110k ni umetumika miezi michache tu so bado mpya kabisa ,napatikana Morogoro mjini
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu! Naomba kujua mwenye kujua soko la lozera anijuze
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wawekezaji tuna eneo geza ulole kigamboni linauzwa kwa heka kwa atayehitaji awe mwekezaji au mwananchi tu wa kawaida kuna heka zaidi ya 600/karibuni sana.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Habari ya jioni, ninashida na freezer, mwenye anayo anauza anipm tuongee bei!!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lenovo X 130 Hdd 320gb, ram 4gb, battery 3 hours, price: tzs 350,000 ya wiki hii kabla ya wikiend. Tuko Kariakoo jirani na China plaza piga 0713039875 kuwahi ofa hii
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Nina gari Aina ya Nissan vannete NZ 200. Nataka niitoboe juu Ili niweke dirisha ambalo linaweza kutumika kuangalia nje. Nawaza kutumia ambalo limetoka kwenye gari ambalo halitimiki. Mfano...
1 Reactions
6 Replies
726 Views
Mpendwa Mwana Jamii, nimekuwa nikitanganza kazi zangu mbalimbali hususani majengo ambayo yamenakshiwa na material za kisasa mbalimbali. Nashukuru Mimi na team yangu tumepata ushirikiano wa...
13 Reactions
2K Replies
310K Views
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Natafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili sebule na jiko, malipo miezi mitatu,mitatu contact 0783161457
1 Reactions
46 Replies
14K Views
habari wana JF, Kuna nyumba kubwa inapangishwa maeneo ya survei, ni kama dakika tatu toka mlimani City. nyumba ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kati ya hivyo ni master, sebule...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu habar zenu.Nahtaji vyumba viwili vya kupanga viwe katika hali nzuri na viwe katika maeneo niliyotaja.Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa 0717478451 na0717465686 asanteni
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Natafuta vyumba viwili vya kuishi, maeneo ya tabata, kinondoni na maeneo ya kimara. Kwa mtu mwenye uwezo wa kunipatia anicheki inbox
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Toyota Corola Dx Details Cc: 1500 Color: White Transmission: Manual Engine: 3A-U Taarifa za Ziada Tairi: Nzima na Mpya Body nzima ila Kuchomea sehemu chache (angalia picha) Vioo: Vyote vizima...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naweza kusema kwa sasa, route ya Dar-Mwanza Ally's wamedhamiria kuibinafsisha. Hizi sasa ni sifa🙌🙌. Sioni kampuni yakuitishia ally's kwa sasa( kwa mbali labda Tanzanite na Happynation) All in all...
3 Reactions
37 Replies
9K Views
Nimefika tanga mjini jana, na nina kazi kama ya mwezi mmoja au miwili hivi, natafuta chumba cha kujihifadhi kwa huo muda nitakaokuwepo. Msaada wa kiushauri na maelekezo naomba sana. Natanguliza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wapendwa! Karibu nikufanyie data analysis bure kwa mahitaji mbalimbali. Inawezekana una repoti kazini,shuleni, au chuoni, Inawezekana unataka kujua ufanisi wa mradi wako kwa kadri ya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za muda wadau wangu... Nawatangazia kuwa ninauza viwanja viko mjini wilayani Chato kingine kizuri sana kinatazama ziwa Victoria. Fanya mawasiliano haraka kwa Na. 0764601903 ndani ya siku...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ipo Kinyerezi Mbuyuni ina vyumba viwili vya kulala, kimoja ni master, jiko, sitting room, ipo ndani ya fensi, maji yapo, kodi ni 250000, karibuni sana, mawasiliano 0782239344
0 Reactions
6 Replies
999 Views
Salaam, Kiwanja kipo Bunju B (upande wa kushoto ukiwa unaelekea bagamoyo) kipo karibu na nyumba za TBA Kina ukubwa wa sqm 1628 Kipo sehemu tambarare (angalia picha chini) Kiwanja kina hati Maliki...
1 Reactions
111 Replies
33K Views
Back
Top Bottom