Machine ya kuvyatua tofali za kuchoma inauzwa,Bei TZS 8000000 complete.Ina uwezo wa kuvyatua tofali 12,000 hadi 15,000 ndani ya masaa 8.Ipo Morogoro Mjini.
Inavyofanya kazi check hapo :Tupigie...
DIGITAL STATIONARY
1. KUCHAPA (typing), KWA LUGHA ZA
(Kiswahili,Kiingereza,Kijerumani,Kifaransa,Kichina,Hindi,Kihispania na Kiarabu)
(i). Barua
(ii) Curriculum vitae (CV)
(iii) Vitabu...
Shalom, habarini za kutwa, nina interest ya kununua shamba maeneo ya kuanzia Kibaha kwenda hadi karibu na Mlandizi hapo katikati, kuanzia heka moja hadi tatu.
Isiwe karibu sana na lami, mwenye...
Jipatie mashine ya ice-cream au koni Kwa bei poa kabisa.pia utapatiwa mafunzo jinsi ya kutengeneza koni bure utapewa na mixer yake bure. Bei ni 2m , Mazungumzo yapo kidogo.
Tuwasiliane Kwa namba...
Kwa mwenye uhitaji wa kujifunza accounting package kwa kuanzia tataanza na Tally kisha Quickbooks.
Muhimu uwe na vitu vifuatavyo
1. Computer - Desktop/Laptop/Pad/Smartphone
2. Speaker - Kifaa...
Gari ipo,imepata ajali kidogo engine 1g,
vioo viwili upande wa kushoto vimevunjika..tair zote mpyaa..batry mpya.
Haina dalali..nichek kama utakua interested..0683 141402. Bei 2.5mil,maongezi...
Vituko haviishi vituo vya kazi siku hizi! Katika moja ya shule ya sekondary wilaya ya Uyui mkoani Tabora kumetokea sintofahamu baada ya mkuu wa shule kumtaka kimapenzi mke wa mwalimu wake wa...
Ninawasalimieni.
Ninatafuta nyumba ya kupanga Dodoma Mjini, sifa ni hizi zifuatazo:
1. Bajeti 250,000/= mpaka 300,000/=
2. Muda wa kulipa ni miezi mitatu au chini yake.
3. Mahali-:Area A, Area...
uwezo : mayai 1056
uendeshaji: inageuza mayai yenyewe(Automatic)
umeme: inatumia umeme kidogo Sana kwa kuwa inatumia coil heater ambazo huzimwa automatically muda fulani
sensors: temperature na...
Plot is situated at KIMARA- TEMBONI , 3KM from Temboni bus stand . plot ni tambalale ukubwa wa kiwanja ni SQUARE METER 900 ( 30 METER * 30 METER) ...
PRICE MIL. 12,000,000/= (negotiable ) . ENEO...
Wakuu salama,
Nauza tank za maji za rangi mbali mbali ila zimetumika kidogo mfano wake ni kama kwenye picha bei ni rahisi mno naziuza elf 90 zina chuma na zipo kwenye hali nzuri nilikua nazitumia...
Bado inapiga ruti kama kawaida
Ya kubadilisha seat cover tu na kuendelea na shughuli za usafirishaji.
Seat capacity: 16 passengers
Engine, gearbox: viko sawa
Loc: mbezi mwisho Dsm
0744033555
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.