Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanabodi! Kwa wenyeji wa Mji wa Chamwino ninahitaji Nyumba ya kupanga angalau vyumba vitatu. Kodi nitakuwa ninalipa kwa mwezi.. mmoja mmoja. Tusaidiane!
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Beach Plot No 1 kina Sqm 1,808 kinauzwa Tshs 100,000,000/ ila Hati bado inabidi kilipiwe kiasi na Hati ikitoka zinamaliziwa. Beach Plot No 2 kina 1,323 sqm kinauzwa Tshs 95'000'000/ kina Hati...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari jf. Nakusogezea bidhaa mbalimbali kwa bei nafuu sana. Jipatie Tv aina ya Goodman kwa bei tajwa hapo juu. Tv sio smart. Call 0744033555
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini watanzania wenzangu mimi ni kijana wa kitanzania na nimebahatika kupata degree ya sheria, lakini kama ilivyo kawaida ukimaliza masomo huna budi kusubiri Mungu akuletee kazi ili maisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Jiji la Dodoma , kipo eneo la swasa mnarani , Kiwanja kina ukubwa Wa eneo SQM 1200. Kipo pembeni ya njia ya barabara ya kutoka kwa waziri mkuu kuelekea martin Luther . kina...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nauza gari tajwa hapo juu Reg: T---DFT Toyota Ractis Colour: Pearl white Year of Manufacture : 2005 Engine Capacity: 1490cc Condition: Perfect running condition with no accident history Fuel...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Cc 990. Engine iko vizuri. AC inafanya kazi. Inafanya uber mpaka sasa. Imetunzwa vizuri tu haina tatizo Njoo na 5.6mil uchukue chombo Mbezi Dar es salaam: 0744033555
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Salaam wana JF.naombeni mrejesho wa picha wana jf niliowapa bure Miche na niliowauzia Miche ya Papai maana ni miezi kadhaa sasa .pia natoa bure huduma ya Ushauri juu ya kilimo hiki cha Papai ,pia...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wakuu, naomba tenda za kutengeneza matangazo madogo madogo kwa ajili ya kukuza biashara yako kupitia mitandao ya kijamii, pia napiga picha za kupromote biashara yoyote ile...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari za jioni wanabodi. Natafuta eneo la kukodi kwa ajili ya biashara ya gereji jijini Dar Es Salaam. Maeneo pendekezwa Buguruni Tabata Kinyerezi Natanguliza Shukran zangu za dhati kwenu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, nauza nyama ya kitimoto kwa bei ya jumla elfu 7 kwa kilo, unaletewa popote ulipo kwa wakaz wa Dar tu. Mawasiliano 0685567438.
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Sim Tank La Maji Lita 10000 linauzwa lipo Dar, Bei 1,000,000, Karibuni kwa maelezo zaidi PM Please
2 Reactions
52 Replies
18K Views
Toyota ist Price 7ml Full AC Full documents Year made: 2003 Engine volume: cc 1490 Njoo na fundi wako kagua gari Piga simu 0744033555 Dar es salaam
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyoeleza Hapo naunza mpunga mzuri, upo Tabora gunia za debe saba zipo gunia za kutosha hata kama unahitaji magunia 400 hakuna shida Bei ni shilingi 65,000 tsh kwa gunia Kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kilivyo, Naomba kuuliza gharama za kukodi costa kutoka Dar kwenda Bukoba kwenda na kurudi huwa ni sh ngapi? Anaejua aniambie tafadhali. Nitashukuru sana.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
VITZ OLD MODEL PIGA 0783288979 BEI:MILLION 3.5 ENGINE:2SZ VVTI,990CC MWAKA-1999 FUEL-PETROL. GEAR-AUTO FULL DOCUMENTS LOCATION: CHANG'OMBE VETA-DAR
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Fallyjan22 1.Sandals za Kike kwa kiume zipoo 2.Simple za kike zinapatikana 3. Mafuta ya Nywele yapoo piaa...:Mzuri sanaa yani. Nywele zinajaa na kuwa nyeusi fresh yani. 4.Kwa Wale Mnaohitaji...
1 Reactions
2 Replies
732 Views
Tunatoa huduma za ujenzi zifuatazo: 1.Ramani za nyumba (Architectural & Structural drawings) 2.Tunaandaa gharama za ujenzi(B.O.Q) 3.usimamizi na ujenzi wa nyumba,sheli,na aina yeyote ile ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU _______________________________ NIMEWALETEA VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU KATIKA ENEO LIITWALO MICHESE,NAOMBA TUIFAHAMU MICHESE KWANZA KWA KUSOMA MAELEZO HAYA...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
- Warranty ya mwaka mmoja. - Linatumia nusu ya mkaa wa kwenye jiko la kawaida. - Imara linadumu kwa zaidi ya miaka 4. - Linashika moto kwa haraka. - Price = 130,000 Tshs. - Free Delivery. -...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…