mwagito25
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 633
- 352
Kiwanja kinauzwa Jiji la Dodoma , kipo eneo la swasa mnarani , Kiwanja kina ukubwa Wa eneo SQM 1200. Kipo pembeni ya njia ya barabara ya kutoka kwa waziri mkuu kuelekea martin Luther . kina nyaraka zote za serikali zilizo halali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app