habari za Leo wakubwa,
Leo nimeamua kuleta karamani kakali kidogo unaweza kujionea mwenyewe. Haka karamani kana vyumba vinne. Ila chumba kimoja ni kidogodogo kinaweza kutumika kama study room au...
Wakuu naomba mwenye contacts za madalali wa nazi katika soko la ILALA na Temeke stereo. Asanteni sana
Hello wakuu, nina shamba la minazi huku Kilwa nimevuna takribani nazi 8000, kama kuna...
Habari Wakuu
Natafuta gari Toyota IST yenye sifa hapo juu, offer yangu ni kuanzia 7m mpka 8.5m,
Gari iwe katika hali nzuri, rangi silver, Gray, dark na light blue,
Kama mtu anayeuza atakua ndio...
Niaje..
Wale wanaotaka Xiaomi smartphone ninazo redm 7 Global pic 19.
Bei ni 380000 sealed box . New
Specifications read here Xiaomi Redmi 7 - Full phone specifications
Ukiihitaji ni Pm .
Na...
Helo Tanzania kwa wale wakazi wa Banana Ukonga na maeneo ya jirani wanaoitaji container take away zinapatikana kwangu naweza nikakuletea mpaka ulipo nipigie 0763932278 bei mojani mia 50 pakti moja...
Naitwa David nina umri wa miaka 18 nina elimu ya kidato cha nne natafuta kazi yoyote halali ambayo itakua na maslahi nipo Dar kwa mawasiliano zaidi nipate instagram hdboe_255.
Ahsante kwa muda wako.
Habari zenu wadau,
Sasa, naomba msaada wenu nina mgeni nampokea kesho,anahitaji kufikia hotel nzuri kwa kila kigezo lakini ya gharama nafuu hapa dar es salaam..budget yetu inarange kati ya 35 na...
Habarini wapendwa. Nauza mapazia yangu ambayo kimsingi siyahitaji tena. Kuna piece 8 jumla. Pisi 4 zipo complete ina combination ya rangi tofauti nauza elfu 35, pisi 3 zipo rangi nyekundu tupu...
Offer ya kuanzia mwaka
Set nzima ya kupambia cake kwa bei ya 125,000 tu
Inakuja na vitu vingi sana vya kisasa
Ina nozzle piece 48, turnable table, visu vya kupambia, mifuko, slicer na vitu vengine...
Model: Toyota IST
Cc: 1490
Year: 2005
Full ac
Location: Kinondoni (Dar)
Price: 6,000,000
Contact: 0717599884
Gari ni nimeitumia mwenyewe, kwa atakayevutiwa karibu tuzungumze
Habari nyumba hii inauzwa ipo barabarani kabisa Goba million 58 tu karibu ujionee tupigie 0763542515
Ina vyumba vitatu na sebule umeme na maji vipo pia ina by quarter kwa nje kama una vijana...
Imetumika miezi 4 tu milango miwili ina friza juu ubaridi mkali na friji kwa chini ina nafasi kubwa na pia 0712046405 lipo Dar es salaam kigamboni pia kuna masofa yanauzwa NAHAMA KIKAZI.
Niende kwenye point moja kwa moja kama heading inavyoeleza.
Tutafute tukusafishie shamba, kiwanja ikiwa ni kuchimba visiki vilivyopo kwenye shamba au eneo lako.
Pia tunapuliza dawa za kuua...
Wajasiriamali House tumekuwa kwa zaidi ya miaka 10. tukiwasaidia Watanzania walio na mitaji isiyozidi laki 5 ,mbinu za kuanzisha au kuboresha bidhaa zao sambamba na mbinu za mauzo ya bidhaa zao...
GPS TRACKING SYSTEM NI NINI
Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika.
Mfano ---- Sehemu chombo...
HIYO HAPO PIKIPIKI TOYO TOLEO LA KWANZA KABISA...
BADO MBICHI KABISA...ILIKUWA YATUMIKA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI...YAWEZA PIA KUWA BODABODA...
NI NGUMU ASIKWAMBIE MTU...NISHASEMA NI TOLEO YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.