Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Karibuni vibanio vya nywele kwa bei ya jumla Tsh 7000-10000 popote ntakutumia kwa uaminifu mkubwa. Karibu upendeze na vibanio vya kisasa kabisa
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Rejea hiyo Subject hapo juu. Sina nguvu yakununua vipya, hivyo nataka used chenye afya. Natambua na kuheshimu Madalali ila kwenye hili ninahitaji wamiliki. Juzi dalali kaniambia Carry mil3.7...
11 Reactions
20 Replies
5K Views
Panasonic gh5s bei ya ofa jamani kwa anayeifahamu anajua dhamani yake kama uifahamu tafadhali ingia youtube search "panasonic gh5s review" uone ubora wa hii camera. Bei 4m (maongezi yapo kidogo...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
APPARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI-MASAKI ENEO-BAHRESA ______________ APPART MPYA YA KISASA __________ TAMU YA KIBACHELA _______________ INAYOJITEGEMEA ______ YENYE:- Chumba...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
~Husika na Somo tajwa Aina: DELL Model: 630 RAM: 3GB HDD: 80GB Display: 13inch USB PORT: 4 HDMI: 1 VGA: 1 JACK: 3.5mm Wireless: yes Na sifa nyinginezo kibao ' ~Price 250k ( 250,000 ) NB...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Korosho Zinapatikana kwa jumla Na reja reja kwa Bei Nafuu Sana{kwa Jumla na Rejareja} Korosho zipo Aina mbili 1 Brown za chumvi , kilo Tsh 20,000/= 2 Nyeupe kavu, kilo Tsh 18,000/= unafikishiwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Karibuni programu ya PreForm 5, wiki 12 kuanzia tarehe 1 Machi. Gharama ni shilingi laki 5 lakini zitarejeshwa (kwa kukatwa kwenye karo ya shule) ikiwa kijana atajiunga F5 mwezi Mei, kwa hiyo ni...
1 Reactions
0 Replies
917 Views
Bei 70,000 Unazeeka wada zako kisha unajifukiza Ni rahisi kutumia Nipate hapa +255788282409 Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Tuko kwa ajili yako ewe mfanyabiashara unayetaka ubinifu katika kuwavuta wateja! Kama una hitaji kuprintiwa mabango na kuwekewa eneo utakalo, ukitaka printing za bronchures, Company profiles...
0 Reactions
1 Replies
557 Views
Jipatie ofa ofa ya perfume msimu huu wa Valentine Day kwa bei nafuu kabisa kwa ajili ya kunogesha siku ya wapendanao ukiwa na perfume bora kabisa! Tunapatikana -Mbezi Beach Dar unaweza kuweka...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
New lamination mashine inauzwa inahitajika hela fasta tuokoe Maisha ya mgonjwa Price 80 Location Mbeya PM FOR MORE INFO
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Kumekuwa na changamoto kubwa mbili kwa watu wanaogiza vitu kwenye mitandao hii nguli ya Kichina Bei ya mali kuwa rahis lakini usafiri kuwa bei kubwa. Wengine njia za kufanya malipo kushindwa hasa...
10 Reactions
59 Replies
9K Views
WANA JF, no eneo zuri kwa makazi liko juu hakuna hofu ya mafuriko karibu na kituo cha magari yaendayo mjini kiujumla ni mahali salama kwa makazi being 100,000 kwa mwezi mawasiliano 0699 522471...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta vifaa vya watoto vya kuchezea mazingira ya nnje kama shule ni. Mfano bembea, mterezo, baiskeli za chuma zilizounganishwa na chuma mithili ya bembea n.k. Utumapo bei ambatanisha na picha...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel imezindua kampeni ya promosheni ya ‘Nogesha Valentine na itel’ jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari hivi punde jijini Dar es Salaam meneja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama Kichwa cha habari kinavyo Jieleza natafuta Mtu au Supplier anaeuza Matofali ya kuhimili Moto Mkali (FIRE BRICKS) ARUSHA na DAR. HUDUMA INAHITAJIKA HARAKA MNO
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa.. Asanteni.
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari za leo wanaJF, Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tabata ama Mabibo/ au Segerea. Chumba kimoja tu. Kikubwa ni mazingira yawe rafiki kwa mtu kuishi. Umeme uwe wa kujitegemea hata kwa...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom