OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,315
Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa..
Asanteni.
Asanteni.
NaifuatiliaMahindi ya njano yale ya kutengeneza bisbisi au popcon, na kwa kilo unanunua bei gani? Na maharage njano ndefu au njano fupi nayo unanunua bei gani kwa kilo moja,
Ndio ya popcorn yale mkuu.Mahindi ya njano yale ya kutengeneza bisbisi au popcon, na kwa kilo unanunua bei gani? Na maharage njano ndefu au njano fupi nayo unanunua bei gani kwa kilo moja,
Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa..
Asanteni.
Sawa nakupigia.Yapo ya kutosha, mpigie namba 0652791797
Ningejua bei khalisi ya JUMLA ndo ningeweza kutoa odda. Popote pale nayafuataToa detail zote ndugu mjumbe.
Mfano
Offer yako imekaaje kwa mahindi kiongozi?
Then unahitaji kiasi gani maximum?
Wewe upo Arusha, in case mahindi yakipatatikana mkoa mwingine,utayafuata ama utahitaji uletewe ? Nk
Ningejua bei khalisi ya JUMLA ndo ningeweza kutoa odda. Popote pale nayafuata
Tajiri ana uswahili mwingiMkuu wewe sema unanunua bei gani kwa kilo na unataka tani ngapi mbona unatuyumbisha tajiri
Huna pesa ww, sema unahitaji tani ngapi isikute unahitaji kilo 10Ningejua bei khalisi ya JUMLA ndo ningeweza kutoa odda. Popote pale nayafuata
Mi pia nipo moshi ninanunu au natafuta anayeuza maharage ya njano kwa gunia la kilo 100 bei yake iwe Tsh. 230,000 isizidi hapo, nitafuata mzigo shambani.Niaje wakuu nahitaji kukusanya stock ya kutosha ya mahindi ya njano pamoja na maharage. Hivyo naomba kujua namna naweza kupata, nipo Arusha hapa..
Asanteni.
Ndio #daimaMbeleMwikoNyumaWe ni shabiki wa Yanga..?[emoji706]
[emoji124][emoji124][emoji124]
Siyo uswahili, nataka kupata uhakika wa beiTajiri ana uswahili mwingi
Ngoja wadau waje watakupa muongozo mkuu.Mi pia nipo moshi ninanunu au natafuta anayeuza maharage ya njano kwa gunia la kilo 100 bei yake iwe Tsh. 230,000 isizidi hapo, nitafuata mzigo shambani.
Yaan gunia laki 4 aisee huyu siyo yule tajiri wa mbinga bhnaTajiri wa maharage ya njano kutoka arusha,kama ni soya gunia nakupa kwa 400k fika likamba.
Kwaio unataka bei aseme nan wkt we ndio mwenye uhitaji!?Siyo uswahili, nataka kupata uhakika wa bei