Tunauza vifaa vifaa vya umeme aina zote.Tupo Karia koo mtaa wa Swahili/Narung'ombe Dar es salaam.
Jipatie fen,bulb touch,switch,switch socket,pasi,waya,top plug,multi plug, extension,circuit...
Habari zenu wadau?
Nauza eneo la ukubwa wa square meter 7081.9
Lipo km 16 kutoka Mtwara Mjini.
Lipo umbali wa meter 860 kutoka bara bara kuu ya MTWARA-NEWALA.
Ni katika kijiji cha MDUWI.
Kuna...
Habari wakuu,
Ninapenda kuuliza, nasikia kuna mnada wa Mbuzi na Ng’ombe Jumamosi katika Mji wa Kibaha eneo linaitwa Loliondo
Napenda kujua upo sehemu gani hapo Kibaha.
Asante
C.c @mshanajr mrangi
Ndugu wa tegeta
Ndugu wa mbezi beach
Ngugu zetu wa Goba mupo
Chumba cha 50000
6 months na lipa
Wapangaji wasizidi wa 3
Mwenye nyumba asiwepo mazingira gari iwe inafika hapo
Gypsum
Tiles...
Specifications:: kiwe ndani ya geti, choo cha ndani, kiwe na mwonekano mzuri yaani kiwe kipakwa rangi ya cream au nyeupe,
Location: kuanzia maeneo ya tabata bima, mawenzi, hadi kimanga,au tbt...
Ndugu wa Tegeta
Ndugu wa Mbezi Beach
Ngugu zetu wa goba mupoo
Chumba cha 50,000/=
6 months nalipa
Wapangaji wasizidi wa 3
Mwenye nyumba asiwepo mazingira gari iwe inafika hapo
Gypsum
Tiles...
Habari Wadau,
Sisi tunajihusisha na ushonaji wa nguo za aina zote kwanza,
Nguo za Harusi ( Suti na Magauni)
Uniform za Maoffisi na Mashuleni
Mishono ya Vitenge
Casual Wear etc
Karibuni Ofisi...
Habarini,
Nilikuwa nahitaji kufahamishwa wanapouza mashine ya kutengeneza soseji au kama kuna mtu anaweza kutengeneza mashine ya soseji zile kama za kichina.
Nimeambatanisha na picha hapo chini
(1) Deep fryer inayotumia gesi yenye container mbili zenye ujazo wa Lita 6 kila mmoja bei tsh 150,000/=(fixed)
(2) Oxygen cylinder tsh 160,000/=
Simu: 0735327523 DSM
kiwanja kipo kimara suka/njia ya kuelekea Golan kina nyumba ndani yake ya vyumba 3 na jiko haijaisha ipo kwenye linta na foundition ya kujenga nyumba ya vyumba 6 na frem 2 tayar zimejengwa zipo...
Habari nauza pikipiki aina ya tvs 125 used ,iko dar es salaam kijichi, bado ina hali nzuri sanaa , injini haimjui fundi, documents zote zipo na bima bado ipo . Bei 1,450,000 (mazungumzo...
Unahitaji mashine sasa Najidakia store & General supply tupo Kwa ajili yako
mashine ya juice ya miwa utaipata Kwa million moja na Laki mbili tu inachuja na kuacha juisi yako ikiwa safi kabisa mtu...
Habari JF,Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nauzwa kiwanjaa kikubwa ambacho tayari kimepimwa na kuwekewa mawe
Sifa za kiwanja:
Ukubwa ni 900M² (square meter 900)
Ardhi tambalale yenye...
Nyumba inauzwa (Pagale) ipo Kigamboni DSM.
Ukubwa wa eneo: SQM 500
Document: Hati safi kabisa ya s/mtaa.
Location: Kigamboni Mjimwema. KM 4 kutoka ferry, nyumba ipo karibu kabisa na barabara ya...