Habari watu makini.
Nieandaa project au mapango wa kufuga kuku inarange 10m to 15m, kwasasa niko Dar lkn huu mpango naenda kuufanyia Tarime cz ndo naishi huko.
Nahitaji Mtu ambae atasimamia huu...
Wakuu nitangulishe shukrani kwa wote mntaokuja tembelea uzi wangu. Idadi ya viroba ni zaidi ya 300 vilikuwa ni vya gysum ya good one kwa mwenye mahitaji ya viroba anicheki bei 300 kila kimoja...
Ac aina ya panasonic1 horse power inauzwa bei laki tatu na nusu (350000) imetumika miezi mitatu tu ipo kwenye hali nzur sana inapatikana mwananyamala karibu na royal bar rimot yake imepotea ila...
Ni saaa nzuri za kisasa za ainatofautu
Zinapatikana kwa bei na fuu
Pia mzgo unaweza kutumwa
Au kuletewa popote ulipo
Kwa galama nafuu wai sasa
Mawasiliano ni 0719257400
Niko dar maeneo ya Yombo Dovya
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO.
Usafi wa maofisini
Usafi wa majumbani
Usafi wa mashuleni
Usafi wa viwandani
Tunaandaa na kuboresha bustani ya maua(Garden)
Usafi baada ya kukamilika ujenzi
Tunapulizia...
wanajamvi habari zenu
Mimi ni kijana ambae natafuta wateja wa Asali
Asali hii ni ya tabora kwa wanaojua au kusikia kuhusu asali ya tabora wanajua ilivo haina uchakachuaji wowote ni asali halisi...
"TUNAUZA NG'OMBE TUPO ARUSHA SING'ISI TENGERU"
BIASHARA ZETU NI ZA ANA KWA ANA NA SIYO MTANDAONI. LAZIMA MTEJA AFIKE OFISINI NA SHAMBANI
(1) Tunao mitamba ambao hawajapandwa ila waweza pandwa...
Nyumba ina vyumba vinne viwili master , sitting, danning na jiko .
Nyumba ina uwanja mkubwa
Na ipo karibu na barabara ya rami dk 5
Nyumba ina fence ya kuingiza gari
Bei milion 65
Maongez yapo...
Nauza trekta, Massey Ferguson MF 185, 2WD, HP 75. Bei ni 18M (Mazungumzo yapo)
Na jembe pia lipo. disc 3 bei ni 2.5M.
0719070130 Whatsapp & Normal Call
Sent using Jamii Forums mobile app
Laptop aina ya Hp G4 inauzwa bei chee kabisa
Processor Core i5 7th generation
RAM 8 Gb
HDD 1Tb
Iko na GPU na Ssd slot
Bei TSH 540,000/=
Mawasiliano +255624852155
Location kwa sasa ipo Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.