kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 424
Wakuu naomba kujua chimbo linalouza nguo za mtumba za kiume yaani Jeans Classic na Tshirts hapa Dar. Hapa achilia mbali Karume, Ilala na Kariakoo!!
tupe ratiba za machimbo,kiongoziIlala ndio kila kitu second manzese!
Muhimu fahamu chochoro na muda wa kuvunja mtumba.
Krokon wapo just kweliii mkazi wa Arusha Ni Bora aende memorial kwa maoni yanguKwa Arusha nenda KROKON
MemorialKwa moshi jee??
aWakuu naomba kujua chimbo linalouza nguo za mtumba za kiume yaani Jeans Classic na Tshirts hapa Dar. Hapa achilia mbali Karume, Ilala na Kariakoo!!
Vipi kuhusu kiboroloni?Memorial
Kiboriloni cku hizi hakuna kitu limebaki soko la mazao...Vipi kuhusu kiboroloni?
Shukrani sana mkuuIlala pale soko la machinga nssf ground floor siku za Jumamosi na Jumanne huwaga wanakata beli ila saa 12 asb.. Utapata vitu clasic kwa bei ya mnada
Hii kitu bado?Ilala pale soko la machinga nssf ground floor siku za Jumamosi na Jumanne huwaga wanakata beli ila saa 12 asb.. Utapata vitu clasic kwa bei ya mnada
unamaanisha ndani kwenye ghorofa au mule sokoni?Ilala pale soko la machinga nssf ground floor siku za Jumamosi na Jumanne huwaga wanakata beli ila saa 12 asb.. Utapata vitu clasic kwa bei ya mnada