Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tv ni smart yenye sifa zifuatazo:- 1. UHD Tv (4K resolution) 2. VIDAA SMART OS 3. High Dynamic Range 4. DTS Studio Sound 5. Bluetooth 6. NETFLIX, YOUTUBE etc. 7. Cast screen option 8. 3 HDMI ports...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Transporting tender notice. 35 flat bed trucks or called vichanja, needed for offloading chemical for soap making cargo from dar es salaam port to kibaha from tomorrow.30 mt flat base capacity in...
1 Reactions
5 Replies
826 Views
Ina cc2400 Imetembea 108000km Bado iko katika hali nzuri. Inapatikana tegeta DSM. Bei 12.5 ml Call +255 769 118 686
0 Reactions
2 Replies
904 Views
Nyumba hii Ina vyumba nane, fremu mbili za kufanyia biashara, jumla ya vyumba kumi. Ina umeme tayari, ina milango mizuri ya magliri madirisha aluminum Gypsum tailizi, iko eneo zuri Sana. Nyumba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza friji aina ya sharp non frost haigandishi mabarafu inagandisha vitu ulivyoweka rtu inapoza kwa haraka bei l380k mwasiliano 0622115570 IPO ARUSHA 0712206032
0 Reactions
1 Replies
44K Views
Mafuta haya yanakuza ndevu,yanang'arisha ndefu na kuzifanya ziwe na muonekano mzuri Pia kwa wale wenye uwalaza kuna mafuta mazuri ambayo yanarudisha nywele kwenye uwalaza Mawasiliano whatsapp...
0 Reactions
89 Replies
22K Views
Nauza gari yakufanyia biashara kirukuu mistubishi ,kinafaa kwakusambazia bidhaa au kubebe bidhaa za ufugaji kama mayai ,nyama kuku nk. Bei ni 4mil Mawasiliano .0622115570 au 0782719980 Kipo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa Mbeya mjini, Karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
250ml kwa Tsh. 13,000. Tupo Mbagala Dar es Salaam Simu 0682432363 karibuni
2 Reactions
33 Replies
9K Views
Naitaji Friji au Freezer Iwe used maana budget yangu ni fixed. Location nipo Arusha Welcome
0 Reactions
3 Replies
2K Views
N A U Z A Car wash set (vifaa vya car wash ) Jipatie 1.mashine za kuoshea zipo mbili (kazi kazi) hapo hukwami masaa 24 2.mashine ya kunyonya vumbi Lita 20 3.tank la Maji Lita 2000 4. Bango...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
xtrail new model Bei 15.5 Million 78,000 KM Petrol Engine 1990cc 1 owner , the car has been well taken care of. Call 0762 53 578
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Habari zenu! Nahitaji kioo cha simu yangu aina ya Samsung Galaxy Note10 Plus. Simu ilianguka ikagonga sehemu ktk kona ya kulia upande wa chini. Sasa baada ya tukio hili natumia peni tu kimatumizi...
1 Reactions
24 Replies
14K Views
Wadau, salaam! Ninauza kisimbuzi cha Startimes kile walichoingiza sokoni kwa mara ya kwanza wakati wa Kombe la Dunia South Africa mwaka 2008. Mtakumbuka wakati ule walituuzia shilingi 70,000/- ...
2 Reactions
2 Replies
922 Views
Bajaji inauzwa kwa Ofa ya kufungia Mwaka 2021, kwa wajasiriamali au watu wenye ndoto za kupata hesabu ya 20k au 15k kutegemea na mkoa uliopo hii ni kwa ajili yenu, Bajaji ni nzima haina shida...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Baiskeli aina ya MOUNTAIN BIKE zinapatikana. Napatikana Temeke Mawasiliano ni 0713898927 Karibuni Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari ndugu wana jukwaa, Wakuu naombeni msaada wa bei za hzi spare za mtumba (OG). Aina ya gari ni Toyota ist (2006) kwa anaefaham bei zake, kuna ndugu yangu kapata majanga sasa fundi kamwambia...
3 Reactions
7 Replies
6K Views
Nataka nitafute masoko ya Vanilla nje ya mipaka ila kabla ya yote ningependa kujua bei ya Vanilla ni TZS ngapi kwa sasa hasa maeno inapotoka iwe Kilimanjaro, Bukoba ama Iringa. Naomba anayejua...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
Je unajua tank lako la kuhifadhi maji safi na salama kwa matumizi mbali mbali linabidi kusafishwa kila baada ya mwezi Kwa sababu pindi unapohifadhi maji mda mrefu bila kulisafisha tank huifadhi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Set mpya ya kisasa ya vifaa vya kupambia cake Set ina vitu vyote vya kupambia cake. Inakuja na vitu vingi kama sufuria 4 za cake Meza ya kupambia Nozzle 48 Kisu cha kukatia Mifuko ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom