Tv ni smart yenye sifa zifuatazo:-
1. UHD Tv (4K resolution)
2. VIDAA SMART OS
3. High Dynamic Range
4. DTS Studio Sound
5. Bluetooth
6. NETFLIX, YOUTUBE etc.
7. Cast screen option
8. 3 HDMI ports...
Transporting tender notice.
35 flat bed trucks or called vichanja, needed for offloading chemical for soap making cargo from dar es salaam port to kibaha from tomorrow.30 mt flat base capacity in...
Nyumba hii Ina vyumba nane, fremu mbili za kufanyia biashara, jumla ya vyumba kumi. Ina umeme tayari, ina milango mizuri ya magliri madirisha aluminum Gypsum tailizi, iko eneo zuri Sana.
Nyumba...
Nauza friji aina ya sharp non frost haigandishi mabarafu inagandisha vitu ulivyoweka rtu inapoza kwa haraka bei l380k mwasiliano 0622115570 IPO ARUSHA
0712206032
Mafuta haya yanakuza ndevu,yanang'arisha ndefu na kuzifanya ziwe na muonekano mzuri
Pia kwa wale wenye uwalaza kuna mafuta mazuri ambayo yanarudisha nywele kwenye uwalaza
Mawasiliano
whatsapp...
Nauza gari yakufanyia biashara kirukuu mistubishi ,kinafaa kwakusambazia bidhaa au kubebe bidhaa za ufugaji kama mayai ,nyama kuku nk. Bei ni 4mil
Mawasiliano .0622115570 au 0782719980
Kipo...
Nyumba inauzwa Mbeya mjini,
Karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
N A U Z A
Car wash set (vifaa vya car wash )
Jipatie
1.mashine za kuoshea zipo mbili (kazi kazi) hapo hukwami masaa 24
2.mashine ya kunyonya vumbi Lita 20
3.tank la Maji Lita 2000
4. Bango...
Habari zenu!
Nahitaji kioo cha simu yangu aina ya Samsung Galaxy Note10 Plus. Simu ilianguka ikagonga sehemu ktk kona ya kulia upande wa chini. Sasa baada ya tukio hili natumia peni tu kimatumizi...
Wadau, salaam! Ninauza kisimbuzi cha Startimes kile walichoingiza sokoni kwa mara ya kwanza wakati wa Kombe la Dunia South Africa mwaka 2008. Mtakumbuka wakati ule walituuzia shilingi 70,000/- ...
Bajaji inauzwa kwa Ofa ya kufungia Mwaka 2021, kwa wajasiriamali au watu wenye ndoto za kupata hesabu ya 20k au 15k kutegemea na mkoa uliopo hii ni kwa ajili yenu,
Bajaji ni nzima haina shida...
Habari ndugu wana jukwaa,
Wakuu naombeni msaada wa bei za hzi spare za mtumba (OG). Aina ya gari ni Toyota ist (2006) kwa anaefaham bei zake, kuna ndugu yangu kapata majanga sasa fundi kamwambia...
Nataka nitafute masoko ya Vanilla nje ya mipaka ila kabla ya yote ningependa kujua bei ya Vanilla ni TZS ngapi kwa sasa hasa maeno inapotoka iwe Kilimanjaro, Bukoba ama Iringa.
Naomba anayejua...
Je unajua tank lako la kuhifadhi maji safi na salama kwa matumizi mbali mbali linabidi kusafishwa kila baada ya mwezi
Kwa sababu pindi unapohifadhi maji mda mrefu bila kulisafisha tank huifadhi...
Set mpya ya kisasa ya vifaa vya kupambia cake
Set ina vitu vyote vya kupambia cake.
Inakuja na vitu vingi kama sufuria 4 za cake
Meza ya kupambia
Nozzle 48
Kisu cha kukatia
Mifuko ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.