Wadau karibuni Kisemvule Mkuranga mujipatie viwanja ukubwa 50 /40 umbali kutok barabara ya kusini ni 3km,2km bei!! ni 1.5.ml 1.8ml karibun ukileta mteja unapata asilimia 10 unalipa kwa awamu zaidi...
Mbao zenye dawa treated zisizoliwa na wadudu zinapatikana kwetu kwa bei za jumla na reja reja.
Tunatoa ofa za Misumari ya Bure 10kg na Ofa ya Usafiri wa kukupelekea mzigo sait Bure!
Tunapatikana...
Vodacom Tanzania hamna jinsi mnaweza kupunguza haya maneno mengi mkaweka hata VODA TZ AU VODACOM TZ. HILI JINA LENU REFU MPAKA MUONEKANO WA CM UNAKUWA BOARED. JARIBUNI KUWA KAMA MITANDAO MINGINE...
Habarini wadau,
Natafuta nyumba maeneo ya Goba, au Mbezi Shule hadi Mbezi Makonde. Nyumba iwe ndani ya geti na chumba, sebule,jiko na choo.
Bajeti yangu ni kuanzia 150k - 250k .
Kwa mwenye...
Hello!
PICHA ZA UKUTANI
Kulingana na mabadiliko ya teknolojia tumekuletea mfumo mpya wa picha za ukutani zisizokua na kioo ni mbao tupu. Ni imara na haziloani na maji kulinda ubora wa picha...
Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imezindua rasmi simu yake mpya toleo la CAMON 16s leo jijiini Dar es Salaam pamoja na kuwatambulisha mabalozi wa simu hiyo.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo...
Ndugu zangu,
Kutokana na kuhamishiwa kikazi mkoani katavi, sina jinsi zaidi ya kuiuza biashara yangu ya bucha ya nyama ya ngombe, iliopo eneo la bunju b mabwepande(off mabwepande road).
Bucha...
Nauza
SAMSUNG A71
RAM 6GB
STORAGE 128GB
FRONT CAMERA 32 MP
BACK CAMERA 64 MP
BATTERY 4500 MAh
Fingerprint Ya kwenye screen[emoji736]
Clean as New [emoji95]
Haina Crack yeyote
Nimeishiwa Nauza 650k...
Habari za wakati huu ndugu zanguni, Kama Kuna mtu mwenye mashine ya NMB WAKALA, hafanyii kazi au anaiuza kwa sababu yoyote tuwasiliane, nimeitafuta kwa udi na uvumba lakini zimekuwa ngumu kweli...
Mac Book
core 2 duo
HDD 320GB
PROCESSOR 2GHZ
BATTERY 3HRS
FOR 270,000/=
FOR MORE LAPTOPS
CALL/TEXT/WHATSAPP 0716889489
Telegram:HOME OF LAPTOPS& CC CAMERA
Instagram:Login • Instagram
Wadau wazoefu kwenye kilimo cha bustani naomba kupata ushauri kuhusu kilimo hicho,bei na masoko ya mazao haya.
1.kindola (matango madogo).
2.Kalela
3.Maharage ya kichina
4.Kisola
5.Pilipili...
Wakuu poleni na majukumu
Nnahitaji fundi anayeweza kuapdate software katika mashine ya alignment
Aina ya mashine ni Hunter K 111
IPO kigamboni
Mawasiliano 0762036898
Anahitajika fundi wa plasta haraka anaejua vizuri kupiga plasta. Site iko Mbezi DAR.kama kuna kazi ulifanya ambayo ni nzuri itume ili kumvutia mteja.
Sent using Jamii...
Hard Disk: 500GB
Model: CUH 1003A
Build: PS 4 Fat
Games: Call of Duty, Pes 20, Need for Speed, GTA, Batman Injustice 2 na Mortal Kombat.
Controller Pad: No
Asking Price: 580,000
Location...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.