Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Set mpya ya kisasa ya vifaa vya kupambia cake Set ina vitu vyote vya kupambia cake. Inakuja na vitu vingi kama sufuria 4 za cake Meza ya kupambia Nozzle 48 Kisu cha kukatia Mifuko ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wandugu, Nauza sofa set yenye jumla ya siti saba (7). Muundo wa sofa ni (Love seat) ambayo ni siti ya watu wawili. L-shape ambayo inaunganisha vipande vitatu. Kipande kidogo cha siti ya...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakubwa ninauza simu hiyo apo bado mpya kabisa, Shida zmenitembelea Bei ni 370000 0621588209
0 Reactions
9 Replies
638 Views
Habari zenu, Drone Online Ads tukiwa na uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika ujasiriamali Tanzania, na hasa jiji la Dar ,sasa tumeanza huduma ya kusaidia wajasiriamali kukua katika maeneo...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Nauza EXTERNAL HDD 750GB used but but in Mint Condition. Haina tatizo,inaweza kutumika pia kama internal 70,000/= location:Dar-es-salaam wa.me.255716889489
0 Reactions
2 Replies
893 Views
  • Closed
nahitaji pesa chap mtungi mkubwa na jiko lake complete 90 Kuna gesi ndani na jiko limetumika miezi minne Kimara mwisho: 0747456177
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Msaada tafadhali, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo. Naweza pata wapi duka la vitabu kwa upande wa Dodoma N.B visiwe vya shule
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji hii machine, iwe halali sio ya wizi, iwe ya kutumia umeme au mafuta. Bajeti yangu ni 700K. kwa mwenye nayo karibu tufanye biashara...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari. Nauza simu ya Samsung A30 toleo la mwaka huu, simu ina miezi mitano tu toka inunuliwe, ipo katika hali nzuri ila tu Screen Protector ndio imecrake.. SPECS. ●4GB RAM ●64HDD ●Laini Mbili ●MP...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, Nahitaji cover na protector ya sony Xperia 5 (2019) Nipo Zanzibar, nimejitahidi Kwa huku nimekosa. Kwa yeyote ambaye anauza tafadhari tiwasiliane Kwa 0716 403 314. Asante.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Gaming pc DELL Inspiron 15 INTEL CORE I5-6200U 2.30GHZ Turbo UPT0 2.8GHZ c p u 6TH GENERATION HDD 500GB 8GB-DDR4 speedGraphics AMD Radeon with 2Gb Dedicated battery 3hrs * 15.0 inches...
0 Reactions
4 Replies
996 Views
Shamba la miti ya mbao Aina ya pines yenye muda wa miaka 7 na ukubwa wa ekari 200 linauzwa,bei Kwa kila ekari ni 1.8milion. Shamba lipo mpakani mwa njombe na songea,kijiji cha wino. Barabara...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Ninauza mbwa aina ya GSD PURE kwa bei rafiki kabisa ya kufungia mwaka. Tsh 900,000 tu. Ana mwaka mmoja na chanjo zote muhimu kachomwa. Karibuni sana. Dar es Salaam- Kigamboni.
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nauza baiskeli ya watoto. Haina tatizo lolote. Baiskeli ni mpya. Haijatumika sana. Ipo tu ndani muda wote. Inafaa kuendeshwa na watoto umri wa miaka 4 mpaka 8. Ukihitaji tairi za pembeni...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Shamba linauzwa, Kibaha Mlandizi Miswe ukubwa eka 55. Chanzo cha maji huakika, kilimo kipindi chote kwa mwaka,maji ya mto ruvu na mto msumbiji. Linafaa kwa kilimo cha mazao mengi, ulimaji wa...
6 Reactions
53 Replies
8K Views
Ndugu zangu nauza TV mbili. 1. Boss 32". Hii imetumika kama miezi miwili. Iko vizuri kwa kila kitu lakini tatizo lake iliungua taa, mara ya kwanza nilitengeneza ikakaa sawa lakini ikaungua mara...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Inaweza kukomboa mtama, mpunga, mahindi n.k (kwa saa 200kg) Inaweza kusaga mahindi, mchele, manjano, mtama , kahawa n.k( kwa saa kg 300) Inatumia motor ya 3000 watts Mashine ni mpya Unatumia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ps2 slim ikiwa na vifaa vifuatavyo ✓Waya wa moto mpya ✓Waya wa AV mpya ✓Memorycard mpya ✓Flash yenye game 10 Dar es salaam Tsh 110k bei fixed 0692402211
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Kwa yeyote anayehitaji mkaa kwa siku naweza kumuuzia gunia mbili ila awepo dar, bei 60,000 tu Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
443 Views
Back
Top Bottom