Habari za mda huu wadau.
Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo.
Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima...
Ni wauzaji wa mitumba kwa jumla (Mabalo), tunapatikana Mapambano karibu na Zahanati ya kijitonyama, tuna tunatuma Mikoa yote, kwa mawasiliano zaidi piga/Whatsapp number 0715559494. Karibuni sana...
Computer [emoji985] yenye sifa hizi inatafutwa:
Rama 4
core i3 and above
Processor 2.5 and above
Ssd 250gb and above.
Brand yeyote.
Kwa yeyote aliye nayo anicheki inbox
Bujeti yangu ni tsh. 500,000.
Habari wana JF,
Nauza sandals za ngozi OG za kike na kiume Dar..Jumla 18,000 rejareja 20,000.
Ni imara na hazipauki kirahisi wala kukakamaa.
Kwa mawasiliano nipigie 0657940974
Habarini wakuu naomba msaada kuhusu bei halisi ya Printer L805 kwa Mwanza, maana kunajamaa namuulizia kuhusu bei et ananiambia kwa Mwanza zimepanda bei ni 850000 je' ni sahihi kwa bei hiyo maana...
Anahitajika binti mwadilifu wa kulea watoto wawili pale mama yao anapokwenda kazini.
Sehemu ya kazi: Kimara Stop Over, Dar es Salaam
Idadi ya watoto: Wawili
Mawasiliano ya mama wa watoto...
Bei ya kulenga kabisa hii
chombo haina tatizo lolote.
ipo mawasiliano, Dar.
njoo ukague gari
0713096076
CHANGAMOTO ZAKE
Imepauka Rangi
Bampa linahitaji marekebisho kidogo, like 40,000 Tshs...
Habari wana JF,
Nina kiwanja changu nakiuza 4mil kipo Kigamboni kimbiji golani eneo la kidagaa kina hati toka ardhi 600sq ni km 35 kutoka Kigamboni Ferry ..
Kwa mawasiliano zaidi piga 0657940974
Amani kwenu.
Uvimo Maktaba
MFUMO WA UMEME WA NJIA MBILI NA UMEME WA SOLA NA TANESCO KUUNGANISHWA
Habari wadau, maktaba yetu inaaamini sote hatujambo.
Uvimo tunao uwezo was kuweka mifumo ya...
Habari wadau,
Mimi sina sifa ya kukopesheka Bank,
Hivyo nina shida ya mkopo wa M3 kwa mtu binafsi
dhamana niliokua nayo ni kiwanja kipo songea changalawe kipo barabarani kabisa
kiwanja kina...
Waungwana kwema? Nataraji sikukuu yaenda vyema kabisa.
Ninahitaji matofali ya kuchoma kwa Dar es salaam wapi naweza pata? Ni haya matofali ya kuchoma ya kawaida kabisa Kama tunayotumia kujengea...
Mashine ndogo za kufulia nguo za watoto na wakubwa pia
Ni semi automatic machines
Yoko Jf brands kutoka China
Zina kg 5
Zinatumia umeme mdogo
Zinahamishika na Rahisi kutumia
Zinafua,kusuuza na...
Afri Power Roofing ni Wataalamu wa kuezeka/Kupaua nyumba waliobobea katika fani hii na wenye uzoefu mkubwa.
Our Services:-
[emoji828]Tunaezeka/kupaua nyumba aina zote kwa uezekaji wa kisasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.