Habari wakuu,
Naomba kujua wapi naweza pata drip irrigation pipe lines kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga kama nyanya.
Zinauzwa kwa urefu gani na bei ipoje?
Ahsante
Huu ni aina ya ufungaji wenye kusaidia kutibu magonjwa sugu. Katika magojwa haswa kisukari, shikizo la damu na maumivu ya maungio kwa muda mrefu. Aina hii ya mfungo ni nzuri Zaidi ukaifanya kwa...
COURSE DETAILS
Step Ahead Financial Consultants (SAFCO) Ltd invites ALL Accountants and Auditors for the Financial Reporting with Advanced MS Excel training scheduled as follows:
DATES:
11th...
UZITO ULIOPITILIZA
Mgawanyo wa uzito kwa BMI hapa chini
Uzito ulio mdogo
<18.5
Uzito wa kawaida
18.5-24.9
Uzito uliozidi
25-29.9
Uzito uliopitiliza(obesity)
30-39.9
Uzito uliopitiliza na...
Hi jf,
Ninauhitaji na kabati la chips la aluminium, yeyote mwenye nalo naomba ani pm please, nielewane nae,
Pia kama kuna mtu yeyote anajiko la chips la mkaa naomba ani pm niongee nae tafadhali
Fridge lina sehemu ya kugandishia.
Fridge ni la mlango mmoja.
Linatumia umeme mdogo.
Fridge ni jipya. Halijatumika tangu linunuliwe.
Price: 330,000
Location: Dar es Salaam
Contacts...
Hello Guys.. naitaji Ulezi msafi usio na mchaga, ulio safishwa vizuri.
Kiwango itategemea na ubora
Aniambie bei ya Gunia moja anauzaje?
Yupo Mkoa gani?
Je anaweza Pakiza kwenye gari upokelewe...
Soma au Sikiliza neno la Mungu katika simu yako ya mkononi kwa kutumia app ya Biblia Takatifu na Sauti.
1. Biblia hii inakuwezesha kusoma au kusikiliza sauti bila intaneti. (HAITUMII BANDO)
2...
Shamba hili lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).
Lina heka 4 zinapelea kidogo.
Kuna...
Nataftuta gari tajwa hapo juu iwe katika hali ya kuridhisha bila technical faults. Namba iwe B au C kama unayo naoma share namimi humu unipe bei kisha tutawasiliana.
0713672719[emoji336]0787672719
Nyumba ipo mjimwema Kibugumo
Ina vyumba vitatu kimoja master
Sitting room dining room iko na public
Toilet Ina Banda la vyumba 2 Bei milioni 60
Nauza ipad air 2 model 1567 imepasuka kioo ila passcode na iclod baada ya kutengeneza nakutolea
Usiwe na shida nakuuzia kihalali kabsa
Na kwa uaminifu nakupa details zote unazo taka kwenye ipad...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.