Inagharimu 150- 200Habar wana jamii forum, je naweza kupata madukani au kama kuna fundi wa tv kioo cha tv yangu aina ya Samsung inch 32 kwa bei gani
Wapi uko na mm nahitajiInagharimu 150- 200
Pamoja na kufungiwa kabisa mkuu? Na wapi maduka yake yalipo kwa hapa DSM?Inagharimu 150- 200
Braza kaka nina sony 43lm63 wapi nitapata kwa bei iliyopoa maana, kichwa kinauma.Inagharimu 150- 200
+255689356409 White fundí TV yuko Magomeni mapipaBraza kaka nina sony 43lm63 wapi nitapata kwa bei iliyopoa maana, kichwa kinauma.
+255689356409 White fundí TV yuko Magomeni mapipaPamoja na kufungiwa kabisa mkuu? Na wapi maduka yake yalipo kwa hapa DSM?
+255689356409 White fundí TV yuko Magomeni mapipaWapi uko na mm nahitaji
Shukrani sana mkuu, ubarikiwe+255689356409 White fundí TV yuko Magomeni mapipa
Bless you+255689356409 White fundí TV yuko Magomeni mapipa
Mafundi wanapiga cha juu, nataka chaka la kununua vioo nikanunue mwenyewe.+255689356409 White fundí TV yuko Magomeni mapipa
Huyu hapana ndio maana nikamleta hapa ni mkweli na ni mwaminifu kanifanyia kazi zangu kwa uaminifu mkubwaMafundi wanapiga cha juu, nataka chaka la kununua vioo nikanunue mwenyewe.
Kwani ndugai anasemaje?Habar wana jamii forum, je naweza kupata madukani au kama kuna fundi wa tv kioo cha tv yangu aina ya Samsung inch 32 kwa bei gani
Sawa braza matunguri.Huyu hapana ndio maana nikamleta hapa ni mkweli na ni mwaminifu kanifanyia kazi zangu kwa uaminifu mkubwa
HahhahaSawa braza matunguri.