Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habar za muda huu, naendelea kutoa huduma kwa wale wanaotaka kupelekwa kariakoo kufahamu machimbo mbalimbali, ninauzoefu wa mda sasa wa kupeleka watu kuwaonesha machimbo. Yafuatayo baadhi ya...
5 Reactions
18 Replies
19K Views
Nyumba inauzwa Mbeya mjini, karibu na stand kuu ya Nanenane, nyuma ya hotel ya PM luxury hotel, kwenye eneo kuna nyumbaa kubwa moja, nyumba ya vyumba vitatu na nyumba ya vyumba viwili na parking...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kupata ramani za nyumba na kwaujenzi makini wasiliana na doltu architects. Contacts 0654003555 0654003555
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Zipo website tatu; Kila moja inauzwa shilingi 155,000 ziko hosted kwenye wordpress cms.Unapata na emails za tano. Website ni za utalii na zina umri wa zaidi ya miaka 3. Ukinunua website hizi...
1 Reactions
0 Replies
741 Views
Kitanda futi 5 kwa futi 6 kinauzwa kipo mbagala sabasaba bei 120000 maongezi yapo. 0657623266
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunauza mzani Wa kisasa wa Kupima chakula cha mifugo Pamoja na bidhaa zingine. ✓unapima kilo 0 Hadi 50 ✓unatumia betri ndogo. ✓hudumu na chaji. ✓ni imara sana . Bei 20,000/=Tsh. Simu...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Toyota klugger Cc 2360 Yr 2005 Full ac Full doc Gari inamiezi 8 toka isajiliwe Eng iko safi Bei 20M 0753285898
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Luguruni Metres 500 kutoka Main Morogoro Road Eneo ni 25 kwa 30. Kuna Fremu tano na godown kubwa la mashine ,maji na umeme Upo . Bei inaanzia 150M .....maongezi yapo kidogo. Kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Wadau nipo njia panda kidogo Hivi Samsung S20 Ultra 128GB dual sim mpya inapatikana madukan kwa sasa hapa DSM na bei yake ipoje maana madealers wengi wakkoo wanadai hamna mpya na wanasisitiza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi jamani bei ya zile pikipiki baja zikiwa mpya ni bei gn msaada plz
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Habari ya asbuhi wakuu. Ninahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Kigamboni kuanzia Mji mwema kuja uelekeo wa Maweni, hadi kwa Mwingira. Ninahitaji iwe na vigezo vifuatavyo: 1. Vyumba viwili vya...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiini cha njano,kuku wanapewa majani kila siku, hatutumii carophyl yellow kuongeza unjano Bei ya elfu 6800(kuanzia trei 10) Oysterbay karibu na ccbrt 0738832076 Bei inapanda na kushuka,kwa hiyo...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu kwa anaefahamu.
4 Reactions
28 Replies
6K Views
Memory gb32 Ram 4 Condition NEW kwenye box lake Zipo nyingi Karibuni Mikoan tunatuma kwa gharama zako Namba zipo hapo
1 Reactions
52 Replies
6K Views
Viwanja vipo goba tegeta A, karibu na kwa madawa. Ukubwa ni 20/22m na kingine ni 30/20 vyote ni sh 13m lakini maongezi pia yapo. Barabara inafika mpaka hapo, ujirani ni mzuri na mahitaji yote...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Bei ni 190000 0625547181 haina kasoro
3 Reactions
7 Replies
42K Views
Nahitaji stabilizer kwa ajili ya Tv. Naombeni mawazo mafundi wananambia hata nikipata ya watts 500 kwa Tv peke yake ni sawa. Mwingine ananambia angalau iwe ya watts 1500 na kuendelea.. Nahitaji...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Bei ni sawa na bure Aina ya gari ni SUZUKI CARRY Usajili ni T 134 BRV Haina deni lolote Full documents Gari ni ya kuwasha na kuondoka BEI NI 5.5M Mazungumzo yapo Njoo na ofa yako. Kea maelekezo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mifugoplus ni wauzaji Bora wa mashine za kutotoleshea vifaranga.wapo dar es salaam Tegeta .pia wana Mawakala mikoani kote. Wasiliana nao 0656446991
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Back
Top Bottom