House4Sale Nyumba inauzwa 19 million maongez yapo

NANGAI MSUMI

Senior Member
Apr 12, 2015
146
94
Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala sebule jiko na choo Cha public.ipo kwenye fensi mazingira mazur.
Ipo kwenye barabara ya mtaa, ipo Kigamboni darajani karibu na daraja la Nyerere. 0652180400

IMG_20220525_095344_386.jpg
 
1. Kiwanja chakw kipoje.
2. Ina cyumba vingapi? Masta ngapi? Vyoo vingapi? Vyumba vya nje vingapi?
3. Imejengwa lini? Documents zote zipo?


4. Ina mgogoro? Ina madeni? Ni ya familia au yako?
 
1. Kiwanja chakw kipoje.
2. Ina cyumba vingapi? Masta ngapi? Vyoo vingapi? Vyumba vya nje vingapi?
3. Imejengwa lini? Documents zote zipo?


4. Ina mgogoro? Ina madeni? Ni ya familia au yako?
Kiwanja sio kibuwa Sana. Ni 12x10
Nyumba imetosha, hakuna Tena sehemu ya kiwanja kilichobaki ukiacha barabaran tu. Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala,jiko cho cha public humohumo Ndani hakuna master room.


Nyumba sio ya familia Haina mgogoro wowote. Hata wa jirani., Unaruhusiwa kina kujiridhisha
 
1. Kiwanja chakw kipoje.
2. Ina cyumba vingapi? Masta ngapi? Vyoo vingapi? Vyumba vya nje vingapi?
3. Imejengwa lini? Documents zote zipo?


4. Ina mgogoro? Ina madeni? Ni ya familia au yako?
Kiwanja sio kibuwa Sana. Ni 12x10
Nyumba imetosha, hakuna Tena sehemu ya kiwanja kilichobaki ukiacha barabaran tu. Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala,jiko cho cha public humohumo Ndani hakuna master room.


Nyumba sio ya familia Haina mgogoro wowote. Hata wa jirani., Unaruhusiwa kina kujiridhisha
 
Kiwanja sio kibuwa Sana. Ni 12x10
Nyumba imetosha, hakuna Tena sehemu ya kiwanja kilichobaki ukiacha barabaran tu. Nyumba Ina vyumba viwili vya kulala,jiko cho cha public humohumo Ndani hakuna master room.

Nyumba sio ya familia Haina mgogoro wowote. Hata wa jirani., Unaruhusiwa kina kujiridhisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom