Natafuta Engine ya boat (Yamaha 15hp outboard)

Natafuta Engine ya boat (Yamaha 15hp outboard)

GAFFACTOR

Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
21
Reaction score
29
Salama wakuu.

Ninahitaji engine ya boat Yamaha hp 15 iliyo na gear ubavuni.

Kwa aliyenayo tafadhali karibu tufanye biashara.

Mpya itafaa zaidi.
 
Unataka mpya au used?

Kama unataka mpya nenda sleep way

Mule ndani kuna duka

Used nenda maeneo ya feri,pale kwenye katakana kuna mafundi utapata connection
Kama uko Dar lakini

Ova
 
Unataka mpya au used?

Kama unataka mpya nenda sleep way

Mule ndani kuna duka

Used nenda maeneo ya feri,pale kwenye katakana kuna mafundi utapata connection
Kama uko dar lakini

Ova
Vipi makadilio ya bei kwa used na kwa mpya mkuu.
 
Hapa ndo umeongea maana nilitaka nikwambie uende slip way nikasita sababu sikujua upo mkoa gani.

Kwa Mwanza ni changamoto aisee, sina idea ya sehemu wanauza ila zamani kulikua na duka la engine barabara ya Makongoro karibu na taa za pale Nela Street mchepuko wa kwenda Mwaloni. Ni duka la wahindi sijui kama bado wapo wanauza
 
Mkuu ukikosa niko tayari kukusimamia uagize kutoka huku Dubai moja kwa moja.
Nicheki Whatsapp: +971527794329
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom