Shamba Eka 5 linauzwa Vigwaza 3M

Shamba Eka 5 linauzwa Vigwaza 3M

Mabulungutu

Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
89
Reaction score
102
Shamba ekari 5 linauzwa milioni 3 lipo Vigwaza kilomita 9 kutoka barabarani. Kijiji kinaitwa Visezi zuri kwa ufugaji was mbuzi, kilimo. Maji ya bomba yapo kutoka halmashauri ya Bagamoyo. Kijiji kina huduma zote za jamii hospital na shule.
 
Hamna hata kapicha ka hilo shamba wala mawasiliano ya muuzaji ?
 
Shamba ekari 5 linauzwa milioni 3 lipo Vigwaza kilomita 9 kutoka barabarani. Kijiji kinaitwa Visezi zuri kwa ufugaji was mbuzi, kilimo. Maji ya bomba yapo kutoka halmashauri ya Bagamoyo. Kijiji kina huduma zote za jamii hospital na shule.

Check PM mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom