Wanajamvi salaam!
Nina mzigo wa korosho kama tani 1000+ Mtwara (Tandahimba & Newala), Nahitaji ufike Dar es salaam, ASAP mwenye lori zaidi ya tano mpaka kumi anaweza nitafuta 0622479330 tuzungumze.
Katika msimu huu wa kombe la dunia tumekuletea ofa ya wewe na familia yako kwa kupendezesha sebule yako na kuenjoy burudani ya mpira wa miguu.
Jipange maxuria kwa bei ya ofa ya kuanzia 150,000...
Ni Property Investors Company (PIC) wanauza viwanja eneo la Pangani Mtakuja vyenye sifa: [emoji835] Viwanja vipo karibu na Barabara inayounganisha Kibaha na Vikawe.
[emoji835]Vipo umbali wa km 1.5...
Location :Ubungo plaza
Bei ya banda ni 500000
Ukiitaji ufanyie kazi hapo hapo lilipo nitakupa miez 4 free
Bei ya laini
Tigo __150000
Voda__150000
Air tel__100000
Sio lazima uchukue vyote...
TOYOTA HARRIER NEW MODEL MPYAA SANAA (DKM) PRICE MIL 17.9
Make: TOYOTA
Model:HARRIER
Engine code; 2Az
Engine capacity; 2360 cc
Mileage: Low Mileage
Full ac
Full documents.
Transmission...
Nauza Mastervolt
Part no: 77031500
Type AC 1X6A
Bei: 450,000/-
Kwa kweli sijui Ina kazi gani sema imekuja na mzigo wa mtumba. Nim jaribu kucheki mtandaoni nijue Ina kazi gani ila bado sijajua.
Nyumba ipo Argentina karibu na kituo cha mwendo kasi gari inafika mpaka mlango jiko mnatumia watu wa wili na choo mnatumia watu waili maji yapo umeme kwa mwezi 20k unawaka 24h
Jipatie sabuni bora ya Mydło na yakisasa isiyo kuwa na athari kwa mtumiaji au mazingira.
->Inasafisha na kung'arisha tiles,sink.
->Inasafisha ukuta wa rangi ya mafuta.
->Ina safisha rather...
Nyumba yenye vyumba zaidi ya sita vyenye chumba na sebule vinapangishwa kwa bei ya elfu 80 chumba na sebule.....nyumba ni mpya na ya kisasa huduma zote zipo maji ya bomba pia kisima cha emergency...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 700 linauzwa.liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe,kwani miundombinu yote iko sawa,na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa...
Salaam wakuu,
Kama kuna mzazi anahitaji mtoto(watoto) wake wafundishwe tuition nyumbani masomo ya Science na Mathematics(Primary) pia walelewe katika mfululizo maalum wa mafundisho ya Kikristo...
FANYA BOOKING YAKO YA USAFI TUPIGIE SASA....[emoji337][emoji337][emoji337][emoji337] [emoji120] UTAPATA HUDUMA YA USAFI WA NYUMBA YAKO NA OFISI YAKO KWA GHARAMA NAFUU KABISA, USAFI WA:-...
Habari mazee!
Nahtaji fundi umeme mzuri wa magari anaejua sio mpiga ramli....ka gari kangu kile kidude cha ku charge simu au kupachika mp3 hakipitishi umeme toka jana,....naishi maisha ya tabu...
Habari za wakati huu,
Koding Kids Program ni programu maalum ya wiki 2 ambapo watoto wenye umri wa kati ya miaka 12 hadi miaka 15 watafundishwa masuala ya msingi kuhusu masomo ya sayansi ya...