Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanajamvi salaam! Nina mzigo wa korosho kama tani 1000+ Mtwara (Tandahimba & Newala), Nahitaji ufike Dar es salaam, ASAP mwenye lori zaidi ya tano mpaka kumi anaweza nitafuta 0622479330 tuzungumze.
1 Reactions
6 Replies
593 Views
Katika msimu huu wa kombe la dunia tumekuletea ofa ya wewe na familia yako kwa kupendezesha sebule yako na kuenjoy burudani ya mpira wa miguu. Jipange maxuria kwa bei ya ofa ya kuanzia 150,000...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nashida na king'amuzi cha dstv used.fulk set. Nipe bei yako. Nipo Mwanza,Malimbe maeneo ya chuo cha SAUT
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Ni Property Investors Company (PIC) wanauza viwanja eneo la Pangani Mtakuja vyenye sifa: [emoji835] Viwanja vipo karibu na Barabara inayounganisha Kibaha na Vikawe. [emoji835]Vipo umbali wa km 1.5...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Location :Ubungo plaza Bei ya banda ni 500000 Ukiitaji ufanyie kazi hapo hapo lilipo nitakupa miez 4 free Bei ya laini Tigo __150000 Voda__150000 Air tel__100000 Sio lazima uchukue vyote...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
TOYOTA HARRIER NEW MODEL MPYAA SANAA (DKM) PRICE MIL 17.9 Make: TOYOTA Model:HARRIER Engine code; 2Az Engine capacity; 2360 cc Mileage: Low Mileage Full ac Full documents. Transmission...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Mastervolt Part no: 77031500 Type AC 1X6A Bei: 450,000/- Kwa kweli sijui Ina kazi gani sema imekuja na mzigo wa mtumba. Nim jaribu kucheki mtandaoni nijue Ina kazi gani ila bado sijajua.
0 Reactions
18 Replies
910 Views
Wakuu nina kiwanja Changu Kigamboni (Clean Title Deed) 469 Sqm, kipo Barabara Tasaf ukitokea Dar es Salaam Zoo. Block S, Chekeni Mwasonga. Barabara za Mtaa zipo Full Draft. Nakiuza Kwa 8M Tzs...
0 Reactions
8 Replies
819 Views
Nyumba ipo Argentina karibu na kituo cha mwendo kasi gari inafika mpaka mlango jiko mnatumia watu wa wili na choo mnatumia watu waili maji yapo umeme kwa mwezi 20k unawaka 24h
0 Reactions
8 Replies
647 Views
Jipatie sabuni bora ya Mydło na yakisasa isiyo kuwa na athari kwa mtumiaji au mazingira. ->Inasafisha na kung'arisha tiles,sink. ->Inasafisha ukuta wa rangi ya mafuta. ->Ina safisha rather...
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Nyumba yenye vyumba zaidi ya sita vyenye chumba na sebule vinapangishwa kwa bei ya elfu 80 chumba na sebule.....nyumba ni mpya na ya kisasa huduma zote zipo maji ya bomba pia kisima cha emergency...
0 Reactions
1 Replies
621 Views
Sandal nzuri kwa 18000 tu Napatikana mwanza mjini Karibu Sana kwa mawasiliano zaidi @0768480963
1 Reactions
152 Replies
18K Views
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 700 linauzwa.liko mkoani njombe tarafa ya Lupembe,kwani miundombinu yote iko sawa,na kila ekari ni laki moja na nusu kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Table Lamp inauzwa nzuri sana [emoji95] Bei 60000 Imetumika mwezi tuu like new Location Ilala Contact #0719781424
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Nawaletea mzigo huu 250 XLR Honda, kwa Bei Kitonga alietayari na anicheki #0788507074
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Kama kuna mzazi anahitaji mtoto(watoto) wake wafundishwe tuition nyumbani masomo ya Science na Mathematics(Primary) pia walelewe katika mfululizo maalum wa mafundisho ya Kikristo...
1 Reactions
0 Replies
920 Views
FANYA BOOKING YAKO YA USAFI TUPIGIE SASA....[emoji337][emoji337][emoji337][emoji337] [emoji120] UTAPATA HUDUMA YA USAFI WA NYUMBA YAKO NA OFISI YAKO KWA GHARAMA NAFUU KABISA, USAFI WA:-...
0 Reactions
2 Replies
748 Views
Habari mazee! Nahtaji fundi umeme mzuri wa magari anaejua sio mpiga ramli....ka gari kangu kile kidude cha ku charge simu au kupachika mp3 hakipitishi umeme toka jana,....naishi maisha ya tabu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari za wakati huu, Koding Kids Program ni programu maalum ya wiki 2 ambapo watoto wenye umri wa kati ya miaka 12 hadi miaka 15 watafundishwa masuala ya msingi kuhusu masomo ya sayansi ya...
1 Reactions
2 Replies
650 Views
Samahani kwa anaejua bei za viatu vya plastic Dar, Kariakoo yani "yebo yebo" nahitaji mzigo kwaajili ya kufanya biashara mkoani nina imani vina faida.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…