Computer Maintenance

Computer Maintenance

skyline tech

Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
39
Reaction score
65
Changamoto hii kwa kiwango kikubwa husababishwa na mambo yafuatayo kwenye Kompyuta yako.

1.Uwepo wa tatizo/msuguano wa “Hardware” kwenye Kompyuta.

2. Kompyuta kuwa na joto saana.

3. Kuharibika kwa HDD kwenye Kompyuta husika.

4.Kutokuwepo kwa RAM yenye uwezo mkubwa/RAM kushindwa kufanya kazi kwa Ufasaha.

5. Kuwepo kwa virusi kwenye Kompyuta yako.

6. Kutoweka/” Install drivers”zinazoendana na Kompyuta yako.

7. Tatizo la umeme kwenye kompyuta yako.

8. Kuharibika kwa “Window” kwenye Kompyuta.

Pia unapokuwa na Changamoto yoyote kwenye Laptop, Desktop, Tablet na Simu yako Usisite kututafuta kwa UTATUZI Zaidi wa Changamoto hiyo na Changamoto zingine zaidi.

0787085290
+255719169981
#ilala #daressalaam #tegeta

FB_IMG_16284916373755948.jpg
 
Changamoto hii kwa kiwango kikubwa husababishwa na mambo yafuatayo kwenye Kompyuta yako.

1.Uwepo wa tatizo/msuguano wa “Hardware” kwenye Kompyuta.
2. Kompyuta kuwa na joto saana.

3. Kuharibika kwa HDD kwenye Kompyuta husika.

4. Kutokuwepo kwa RAM yenye uwezo mkubwa/RAM kushindwa kufanya kazi kwa Ufasaha.

5. Kuwepo kwa virusi kwenye Kompyuta yako.

6. Kutoweka/” Install drivers”zinazoendana na Kompyuta yako.

7. Tatizo la umeme kwenye kompyuta yako.

8. Kuharibika kwa “Window” kwenye Kompyuta.

Pia unapokuwa na Changamoto yoyote kwenye Laptop, Desktop, Tablet na Simu yako Usisite kututafuta kwa UTATUZI Zaidi wa Changamoto hiyo na Changamoto zingine zaidi.

0787085290
0719169981
#ilala #daressalaam #tegeta

FB_IMG_16284916373755948.jpg
 
Asus x540n kioo kimevuja lakin pia haipitish chaj joto sana. Marekebisho bei gan
 
Changamoto hii kwa kiwango kikubwa husababishwa na mambo yafuatayo kwenye Kompyuta yako.
1.Uwepo wa tatizo/msuguano wa “Hardware” kwenye Kompyuta.
2. Kompyuta kuwa na joto saana.
3. Kuharibika kwa HDD kwenye Kompyuta husika.
4.Kutokuwepo kwa RAM yenye uwezo mkubwa/RAM kushindwa kufanya kazi kwa Ufasaha.
5. Kuwepo kwa virusi kwenye Kompyuta yako.
6. Kutoweka/” Install drivers”zinazoendana na Kompyuta yako.
7. Tatizo la umeme kwenye kompyuta yako.
8. Kuharibika kwa “Window” kwenye Kompyuta.

Pia unapokuwa na Changamoto yoyote kwenye Laptop, Desktop, Tablet na Simu yako Usisite kututafuta kwa UTATUZI Zaidi wa Changamoto hiyo na Changamoto zingine zaidi.

0787085290
+255719169981
#ilala #daressalaam #tegeta

View attachment 1885967
 
Changamoto hii kwa kiwango kikubwa husababishwa na mambo yafuatayo kwenye Kompyuta yako.
1.Uwepo wa tatizo/msuguano wa “Hardware” kwenye Kompyuta.
2. Kompyuta kuwa na joto saana.
3. Kuharibika kwa HDD kwenye Kompyuta husika.
4.Kutokuwepo kwa RAM yenye uwezo mkubwa/RAM kushindwa kufanya kazi kwa Ufasaha.
5. Kuwepo kwa virusi kwenye Kompyuta yako.
6. Kutoweka/” Install drivers”zinazoendana na Kompyuta yako.
7. Tatizo la umeme kwenye kompyuta yako.
8. Kuharibika kwa “Window” kwenye Kompyuta.

Pia unapokuwa na Changamoto yoyote kwenye Laptop, Desktop, Tablet na Simu yako Usisite kututafuta kwa UTATUZI Zaidi wa Changamoto hiyo na Changamoto zingine zaidi.

0787085290
0719169981
#ilala #daressalaam #tegeta

View attachment 1885969
Crush Dump!!!
 
Boss nina desktop yangu Dell, nikiiwasha tu feni inanguruma kwa nguvu lakin haiwaki kabisa, naskia feni tuu ina nguruma na kataa ka kuonyesha kwamba ipo on lakin kwenye screen hamna kitu
 
Boss nina desktop yangu Dell, nikiiwasha tu feni inanguruma kwa nguvu lakin haiwaki kabisa, naskia feni tuu ina nguruma na kataa ka kuonyesha kwamba ipo on lakin kwenye screen hamna kitu
Boss nina desktop yangu Dell, nikiiwasha tu feni inanguruma kwa nguvu lakin haiwaki kabisa, naskia feni tuu ina nguruma na kataa ka kuonyesha kwamba ipo on lakin kwenye screen hamna kitu

Boss nina desktop yangu Dell, nikiiwasha tu feni inanguruma kwa nguvu lakin haiwaki kabisa, naskia feni tuu ina nguruma na kataa ka kuonyesha kwamba ipo on lakin kwenye screen hamna kitu
Kuunguruma kwa feni na speed kuwa kubwa kwa kawaida intokana na ifuatavyo-:

1. LOW VOLTAGE But HIGH CURENT hii ni pale components zinazo drive charges zinashindwa kualocate a good flow of voltages kupelekea push factor (curents) kuwa kubwa hence speed kuwa kubwa kwani inachofanya kifaa chochote cha umeme kuwa hai ni curent.

So fungua hyo komputa mpaka power supply cheki capacitors zote kama zimevimba au kupasuka pia kama unaweza kupima pima zote kwani inaweze isivimbe au kupasuka na ikawa mbovu.

2. RE SOLDERING
Tumia Benzin au Thinner na Brush, hata mswaki, safisha motherboard yote,paka de-sordering flux paka bodi yote kisha kausha kwa kutumia air gun au haet blower hakikisha unaheat kila terminal ya kila component hasa VGA Card (Versatile Graphic Accelerator), hii inasaidia kama kuna kitu kilikuwa kimeshaanza kuachia au kina kutu kinarudi kwenye mfumo wake (resoldering).

Zaidi ya hapo cheki RAM. Imeisha hiyoo
 
Kuunguruma kwa feni na speed kuwa kubwa kwa kawaida intokana na ifuatavyo-:
1.LOW VOLTAGE But HIGH CURENT hii ni pale components zinazo drive charges zinashindwa kualocate a good flow of voltages kupelekea push factor (curents) kuwa kubwa hence speed kuwa kubwa kwani inachofanya kifaa chochote cha umeme kuwa hai ni curent.
So fungua hyo komputa mpaka power supply cheki capacitors zote kama zimevimba au kupasuka pia kama unaweza kupima pima zote kwani inaweze isivimbe au kupasuka na ikawa mbovu.
2.RE SOLDERING
Tumia Benzin au Thinner na Brush, hata mswaki, safisha motherboard yote,paka de-sordering flux paka bodi yote kisha kausha kwa kutumia air gun au haet blower hakikisha unaheat kila terminal ya kila component hasa VGA Card (Versatile Graphic Accelerator), hii inasaidia kama kuna kitu kilikuwa kimeshaanza kuachia au kina kutu kinarudi kwenye mfumo wake (resoldering).
Zaidi ya hapo cheki RAM..Imeisha hiyoo
Nashukuru mkuu, ila nilipokuja kuchunguza vizuri computer inaanza kutoa mngurumo baada ya 5 beeps (kutoa mlio mara tano) na nilivyofuatilia ni kama ni cmos battery ina tatzo
 
TAHADHARI : Kuna mambo mchache ya kutambua hasa pale unapoona HDD Ya Laptop au Desktop yako imeonyesha Dalili hizi;
1. Kuzunguka/ ku-load kwa muda mrefu sana bila kumaliza.
2. Laptop / Desktop kuwa nzito saana.
3. Ukisoma Hdd life inakuambia 0% na kuonyesha hali ya hatari kuwa inaelekea kufa.
4. Kuleta " blue screen"
5. BIOS Kushindwa kufanya kazi hasa unapowasha laptop yako.
6. Msuguano wa kimakenikia ndani ya HDD unaopelekea HDD kupiga kelele.

Haya ndio mambo makubwa tapelekeayo HDD Kuharibika;

1. Hdd kujaa kwa kiwango kikubwa, kitendo kinachopekekea Hdd kushindwa kufanya kazi ya kutunza data.
2. Hdd kushambuliwa na Virusi hasa kwa wale wasiokuwa na utaratibu wa kuweka Antivirus.
3. Hdd kumwagikiwa na kimiminika kama Maji, Soda, Maziwa n.k.
4. Laptop/ Desktop kuwa na kiwango kikubwa cha joto, ambacho uathiri mfumo wa sumaku kwenye HDD.
5.Uwepo wa Umeme usiotulia, hasa umeme unaokatika na kurudi, ambapo nao hupelekea kuathiri Mfumo mzima wa HDD.
6.Tatizo la " Hardware" hii ni hasa unapodondosha HDD au kuigonga na kitu kizito.

Je baada ya Kupima andiko hili unatamani kuwa na HDD zaidi ya hiyo uliyonayo?
Je HDD ya laptop/ Desktop yako imejaa kwa kiwango kikubwa zaidi?
Je unahisi kiwango/ muda wa kuishi wa HDD (life span) yako ni kubwa sana?

Basi USIPITWE na OFA hii ya Christmas na Mwaka mpya hii ambayo haitajirudia.
Hdd 500GB Mpya za Laptop/ Desktop ni Tsh. 60,000/= Badala ya 65,000/=
HDd 1TB Mpya za Laptop/ Desktop ni Tsh. 115,000/= Badala 125,000/=

CHANGAMKIA FURSA HII NDANI YA MWEZI HUU

KUMBUKA : Tunafanya FREE DELIVERY kwa Walioko Mkoa wa Dar es salaam, kwa walioko Mikoa Mingine, upo utaratibu mzuri wa kukufikishia bidhaa tako.

Tupigie/ Tuma SMS/ Whatsapp:
Call +255 68 727 8659
+255 767 466 943
Email: intouchinfotec@gmail.com
Tunapatikana Tegeta, Dar es salaam Tz

Pia tembelea katika mitandao yetu ya kijamii
FB Intouch infotech
IG @intouch_infotech

Karibu sana.

Creativity is our specialty
IMG_0931.jpg

IMG_0929.jpg

IMG_0930.jpg
 
Tangu nilivyowekewa harddisc mpya Sauti haitoki kwenye computer yangu, bluetooth siioni, nilikuja kugundua baada ya kufika home.shida nn hapo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tangu nilivyowekewa harddisc mpya Sauti haitoki kwenye computer yangu, bluetooth siioni, nilikuja kugundua baada ya kufika home.shida nn hapo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Kutakuwa na driver zimemiss kwenye hiyo harddisc mpya kwahyo cha kukushauri ni
*unapoweka HDD mpya kweny computer ni vizuri ukaipiga window au
*ufanye driver pack installation au
*fanya update ya computer

Hii inasaidia kufanya operation system (OS) ya computer kufanya kazi ipasavyo pia inasaidia kurudisha driver zilizopotea katk system
 
Back
Top Bottom