Mashine ya kukamua juisi ya miwa
Mashine ya manual
Bei 550,000/=
Hii mashine unaweza kutumia binafsi kuanzisha biashara ya juisi ya miwa au ukaikodisha kwa mtu mwengine
Sifa za mashine
🔸️uzito...
Katika chanzo kikuu Cha kuendesha mfumo wa maisha basi afya ni kitu Cha msingi zaidi katika kuendesha uchumi hata siasa.
Nadhani wengi au baadhi yetu tushawahi pitia maswaibu ya kuuguza au wenyewe...
Jali AFYA yako na familia yako kwa kumiliki kifaa hiki muhimu sana kwa bei rahisi sana ya Tsh 100, 000/= Tu , zilizothibitishwa na WHO (Dar Es Salaam Free Delivery).
Small body and Convenient...
Haya ni majiko ya kisasa yenye material maalum ya kuzuia joto lisipotee hivyo kukuwezesha kutumia mkaa kidogo tu kuivisha vyakula.
Unapewa pamoja na warrant ya mwaka mmoja. Kwa mkoa Morogoro...
Hivi unajua upungufu wa joto bandani ni moja ya sababu inayopelekea vifaranga wako kudumaa/kudhoofika na kupoteza maisha?
(INFRARED BULB)
Sifa za Taa za mifugo plus
●Hutoa mwanga mwekundu ambao...
Nyumba ipo Mbagala kwa Mbiku, ina frem 2 kwa mbele, vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko. Nyumba ya pembeni(Wavulana) vyumba 2. Bei ni 25m tu. Tuwasiliane kwa namba hii 0677089280.
DEAR EARLY CHILDHOOD EXPERTS
We are organising a staff talk special for owners with their workers of pre primary institutions
THE CORE OBJECTIVE IS TO LEARN ABOUT
Job ethics
Employers and...
Habari,
Kwa majina ninaitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi wa makala na vitabu vya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Ninawafikia watu kupitia mitandao yangu iitwayo UWEKEZAJI MAJENGO.
Leo...
Hagears-supplies - Tunasaidia kupata bidhaa bora moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji(viwanda) vya China hasa tukizingatia ubora wa bidhaa na bei nzuri kwa mfanya biashara wa kawaida, bila kusahau...
Habari wakuu,
Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100.
Asanteni
Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu
Dhamana ya nyumba ipo
Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.