Waungwana natumaini mko poa mko wengi wenye makampuni nimeamua ku-share hii kitu tupeane rizki/connection napokea contract za kuosha gari za aina yoyote especially truck, mabasi na gari nyengine...
Habari Wakuu,
Nimeona ni Vema ni share naye kama Watanzania wezangu Fursa hii Ambayo itakufanya Uingize kila Siku sh 50,000 kwa juhudi zako.
FURSA YENYEWE
Mimi Nashughulika na uchinjaji Wa...
Kutana na wataalamu wa kufanga mifumo ya umeme majumbani,ofisini na kumbi mbalimbali
kwa mifumo bora ya kisasa na salama.
Pia tunadesign mifumo ya mwanga wa dari (ceiling), makabati (Cabins)...
Wakuu habari za wakati huu
Ningependa kujua kati ya kampuni tajwa hapo juu, ni kampuni gani ambayo hutoa magodoro mazuri na yenye ubora, ambayo ukinunua hutajutia hela yako(Nikimaanisha sio...
Tunawaletea fryer nzuri na imara za gas pamoja na umeme
Fryer za gas zina kibiriti chake kwa ndani.
Zinapata moto haraka
Kila bakuli lina uwezo wa kuchukua lita 6
Bei: Double gas fryer...
KWA HAPA TANZANIA
Hakuna kitabu au documents yeyote ya kukuongoza wewe mgeni kufanya biashara ya KUNUNUA MADINI zaidi ya kitabu hiki cha MWONGOZO wa biashara ya kununua madini ni HAKUNA...
Wadau kuna liquid soap fulani wanatumia kwenye mahoteli makubwa ambazo wanazijaza kadiri zinapopungua. Kwa walioishi ulaya mtakuwa mnazijua maana kule ni kila hoteli zinapatikana. Swali naweza...
Nauza Kiwanja kilichopimwa Square miter 296
Jirani na Azam Factory Mwandege.
Kiwanja kipo katika mazingira tulivu umeme upo umbali wa mita 16 tu. Maji masafi unavuta kwa jirani mita 25 tu
Kiwanja...
REALWOOD LTD, ni watengenezaji na wauzaji wa milango aina ya mbao na vifaa vya milango.
Tunatengeneza milango ya mbao ngumu tunatumia mbao ya mkongo (Hardwood)na milango ya mbao ya kawaida...
Habarii Wana jf,Nyumba ya room tatu moja Master room,sebule kubwa, public toilet,store pamoja na jiko,ina uwanja wa 15mx30m ipo misungwi mkoa wa mwanza mawasiliano +255 769 088 152.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.