Mapato mpaka mwezi wa sita
Latra mpaka mwezi wa tisa
Bima mpaka mwezi wa tisa
Namba MC ...... CFT
Ipo inafanya kazi mombasa kwenda moshi bar ukonga dar
Bei shilingi 3,700,000
O754 636060...
Nauza TV aina ya Hisense LED Flameless kwa bei ya Tshs 270,000
TV hii imetumika miezi 4 tu ba bado ina boksi lake.
Nicheki kwenye namba 0764368588 tufanye biashara
Napatikana Mbezi jirani...
Sitaki wale vinyonya damu wanakupa beu ya pipi kisa una shida . Kibamba dar es salaam
OFA YA MITUNGI YA GAS
USIKOSE
EMPTY ORYX KUBWA 37,000
EMPTY MIHAN NDOGO 15000
EMPTY ORYX NDOGO 17000...
MOCO Services ni Wabobezi wa kurekebisha vifaa vya mawasiliano SIMU na Kompyuta. Tupo Mkoani Mbeya, Mwanjelwa, Barabara ya Juakali.
Tumejikita katika ufundi wa "hardware pamoja na software"...
Full package kwa Elf 70 tu TV panasonic nchi 19, Dek Sing Sung na Frash GB8 Og vinauzwa bei ya kutupa.
Vipo Mbeya Iyunga 0623935516 maongezi yapo kidogo!
KARIBUN WAKUU.
Very Clean Condition, Everything works perfectly [emoji736]
4K /60fps
5-Direction Obstacle Sensing
ActiveTrack can recognize and automatically follow people and objects like cars and boats...
Habar wana jamvi, Nimefungua ki studio cha kurusha Movies, hivyo nilikua nahitaji kununua Desktop mpya ila sina uzoefu nazo
Nahitaji mwenye kufahamu anipe ABC zake yaani niangalie nini na nini...
Habari wadau,
Karibu ujipatie internet mifi za airtel kwa shillingi elfu 50 tuu. inaunganisha zaidi ya watu 10 kwa umbali wa mita 100, na vifurushi vyake ni vizuri na speed ya uhakika karibuni...
Bajaji TVS inauzwa milioni 2.7, imetumika na bado iko kwenye hali nzuri.
Bajaji iko sinza, karibu kwa ukaguzi.
Piga namba 0688066177 kwa maelezo zaidi, ahsanteni.
Sisi ni wauzaji wa home decoration na home appliances,tunauza
Mashuka
Duvets
Vyombo vya aina mbalimbali
Pazia
Indoor shoes za jinsia zote hadi
watoto
GHARAMA ZETU NI NAFUU MNOOO...
Waungwana natumaini mko poa mko wengi wenye makampuni nimeamua ku-share hii kitu tupeane rizki/connection napokea contract za kuosha gari za aina yoyote especially truck, mabasi na gari nyengine...
Habari Wakuu,
Nimeona ni Vema ni share naye kama Watanzania wezangu Fursa hii Ambayo itakufanya Uingize kila Siku sh 50,000 kwa juhudi zako.
FURSA YENYEWE
Mimi Nashughulika na uchinjaji Wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.