Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mashine ya kukamua juisi ya miwa Mashine ya manual Bei 550,000/= Hii mashine unaweza kutumia binafsi kuanzisha biashara ya juisi ya miwa au ukaikodisha kwa mtu mwengine Sifa za mashine 🔸️uzito...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Natafuta madarasa ya shule yaliyokamilika kwa ajili ya kukodisha kigamboni. Kama unayo taarifa yeyote tafadhali nicheck inbox
0 Reactions
7 Replies
629 Views
Katika chanzo kikuu Cha kuendesha mfumo wa maisha basi afya ni kitu Cha msingi zaidi katika kuendesha uchumi hata siasa. Nadhani wengi au baadhi yetu tushawahi pitia maswaibu ya kuuguza au wenyewe...
1 Reactions
4 Replies
398 Views
Popote ulipo TANZANIA,kwa mahitaji ya vifaa #bora #imara #kwa bei nafuu -MABATI -MISUMARI -MARINE BORD -VIGAE -PVC BORD -GATA & KOFIA -ANGLE LINE -GYPSUM -FISHER BORD Fika kiwandani #DRAGON au...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Jali AFYA yako na familia yako kwa kumiliki kifaa hiki muhimu sana kwa bei rahisi sana ya Tsh 100, 000/= Tu , zilizothibitishwa na WHO (Dar Es Salaam Free Delivery). Small body and Convenient...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Haya ni majiko ya kisasa yenye material maalum ya kuzuia joto lisipotee hivyo kukuwezesha kutumia mkaa kidogo tu kuivisha vyakula. Unapewa pamoja na warrant ya mwaka mmoja. Kwa mkoa Morogoro...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wana jamvi. Nahitaji gari aina ya Toyota IST namba D Rangi iwe kati ya silver, black au white. Budget ni 7 - 8M. Gari iwe haijarudiwa rangi.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi unajua upungufu wa joto bandani ni moja ya sababu inayopelekea vifaranga wako kudumaa/kudhoofika na kupoteza maisha? (INFRARED BULB) Sifa za Taa za mifugo plus ●Hutoa mwanga mwekundu ambao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Electric centrifuge Matundu sita. Model no. : 800D Bei ni 180k Dodoma ilazo
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Habari wakuu,naiuza gari yangu Model:Mazda demio Capacity:CC 1350 Registration:AUL Bei:3,300,000/ Location: Tabata Kifuru Contact:0656214344
0 Reactions
2 Replies
532 Views
Tunafanya Ujenzi kwa Bei Poa January hii bila kuboa tucheki Whatsapp 0685423249
0 Reactions
2 Replies
300 Views
Nyumba ipo Mbagala kwa Mbiku, ina frem 2 kwa mbele, vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko. Nyumba ya pembeni(Wavulana) vyumba 2. Bei ni 25m tu. Tuwasiliane kwa namba hii 0677089280.
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Raba Original za Kiume zinauzwa. Fuatilia uzi huu mara kwa mara ili kuona bidhaa mpya. 80,000 Tsh Gusa 👇 WHATSAPP
0 Reactions
9 Replies
2K Views
DEAR EARLY CHILDHOOD EXPERTS We are organising a staff talk special for owners with their workers of pre primary institutions THE CORE OBJECTIVE IS TO LEARN ABOUT Job ethics Employers and...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Habari, Kwa majina ninaitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi wa makala na vitabu vya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Ninawafikia watu kupitia mitandao yangu iitwayo UWEKEZAJI MAJENGO. Leo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hagears-supplies - Tunasaidia kupata bidhaa bora moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji(viwanda) vya China hasa tukizingatia ubora wa bidhaa na bei nzuri kwa mfanya biashara wa kawaida, bila kusahau...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu Dhamana ya nyumba ipo Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nina shida na hela,nauza mzani wangu mpya wa KG 10.bei 120,000 tu. Location Kigamboni Mjimwema.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Njio uchukue mzani wa Kg 10 ,kwa bei ya kutupa 120,000 tu.mzani ni mpya kabisa. Location kigamboni mji mwema. 0752649984
0 Reactions
4 Replies
480 Views
Back
Top Bottom