Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hagears-supplies - Tunasaidia kupata bidhaa bora moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji(viwanda) vya China hasa tukizingatia ubora wa bidhaa na bei nzuri kwa mfanya biashara wa kawaida, bila kusahau...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100. Asanteni
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu Dhamana ya nyumba ipo Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Nina shida na hela,nauza mzani wangu mpya wa KG 10.bei 120,000 tu. Location Kigamboni Mjimwema.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Njio uchukue mzani wa Kg 10 ,kwa bei ya kutupa 120,000 tu.mzani ni mpya kabisa. Location kigamboni mji mwema. 0752649984
0 Reactions
4 Replies
480 Views
RABBIT/SUNGURA FRESH WHITE MEAT TUNAUZA NYAMA YA RABBIT/SUNGURA KWA ORDER KILA SIKU YA JUMAMOSI NA JUMAPILI 1 KG = TSHS 15,000/= TUNAPATIKANA KIMARA BARUTI DELIVERY KWA DAR ES SALAAM IPO...
3 Reactions
6 Replies
784 Views
Nahitaji miti 500 ya miharadali kwa alienayo tayari kwa kupanda au tunaweza kuingia makubaliano ya kunioteshea #Mahali popote pale miti ilipo nitaifuata mwenyewe
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu. (1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Nina hiyo Benzi, ipo vizuri ndio inakaribia klm 125,000 na haijapoteza mfumo wake wa fuel consumption. Kwa anayehitaji kununua na hata kubadilishana tuwasiliane 0629478005
1 Reactions
29 Replies
2K Views
A new Lodge located at Nzuguni Dodoma is looking for the following qualified staff A full-time manager with at least 3 years’ experience and a diploma or degree in hotel management A full-time...
1 Reactions
3 Replies
694 Views
Wakuu habari Nauza sungura, wakubwa , Wapo sita nauza wote.. Bei ni 30000 tsh kila mmoja Nipo Kimara, 07450 98591 Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Inside the Bag; Nikon Camera D40 ( with Battery full) Nikon Camera D90 ( With battery full) Nikon Dx lens 18 - 105mm Nikon Dx lens 55 - 200mm Nikon Dx lens 18 - 55mm Free Camera Bag [emoji91] All...
0 Reactions
2 Replies
625 Views
Nina mzigo wa kutosha wa maembe nauza jumla. Nina aina ya maembe ya dodo, bolibo na maembe ya apple.
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Sasa jiunge kwenye ajira bora kwako ya KUTOTOLESHEA mayai ya KUKU , KANGA, BATA, NJIWA N.K kwa kumiliki incubator au Kitotoreshi kwa ghara nafuu kutoka Kampuni yako pendwa MWALIMU GROUP LTD. Na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Vuta unachopenda kwa kutumia Sukari Sukari ni mmea dawa unaotoka kwenye Muwa, na kutokana na ladha yake, kuacha hivyo pia ladha na utamu wa sukari ulishawahi kuweka record ya dunia katika...
5 Reactions
51 Replies
35K Views
Je, umekuwa upo katika hali ya kujiuliza unaweza kujifunza ujuzi gani ambao utakuingizia pesa ya kujikimu kila siku. Nakumbuka mwaka 2015 nilikuwa kama wewe nimekaa nyumbani bila ujuzi wowote na...
5 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari ya leo wakuu, Napenda kuwajulisha kuwa nauza chemicals zote za uchenjuaji wa madini ya dhahabu. Chemicals zote ikiwemo Sodium Cyanide, Activated Carbons, Caustic Sodas, Nitric Acid...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kichwa chajieleza natafuta gari ya engine 1500 kushuka chini offer yangu ni million nne (4,000,000) Piga simu au whatsapp 0759117175 Ukiwa Owner itakua vzr zaidi.
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Mwenge au Makumbusho. Bei 40 to 60k kwa dalali naomba tuwasiliane tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeelza nahitaji jbl charge 4 used Kwa MTU mwenye nayo aje DM tuyajenge 0627796644 tunaweza chekiana humu ni serious
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Back
Top Bottom