Wakuu habari za majukumu;
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kuwa Nissani Patrol (chura) toleo la kuazia 1995 inahitajika, kwa yeyote anayeuza amesikia inauzwa mahali naomba aje pm au unaweza...
Nyumba inauzwa ipo Mwanza wilaya ya Misungwi, ina vyumba vitatu kimoja master, sebule kubwa, dinning room pamoja na jiko, inauzwa kuanzia million 25. Uwanja umepimwaa na haina mgogoro wowote...
Tunauza Mashine ndogo za kufulia mpya kabisa kutoka china. Zinafua, Kusuuza na Kukausha.
Brand Ni JF, Ni Imara sana na ikikusumbua ndani ya miezi mitatu tutakabadilishia mashine mpya kabisa...
Habari wakuu,
Ikiwa una nyumba yako na unajiuliza ni wapi utapata mapazia au Mabomba ya mapazia pamoja na installation (ufundi) basi leo umepata suluhu kwani sisi tunaweza kumaliza tatizo lako...
Nyumba mbili zinauzwa Sengerema Mjini Mwanza, zote ni nyumba zenye vyumba vitatu na sebule, jiko, dining na master bedroom moja ambayo ni selfu!
Nyumba Moja imekamilika, nyingime haijakamilika...
Jipatie nakala za vitabu vya riwaya pendwa za Kamanda Amata Sasa. Wahi katika sehemu hizi[emoji116]ukamate yako...
HARUFU YA KIFO
Tsh 12,000
MPATANISHI
Tsh 12,000
Dar es salaam
°Duka la Kona ya...
Habarini wakuu.
Hivi ni kwanini watu hujenga kwa ramani za kufikirika tu zisizokuwa na mpangilio wa kitaalamu. Yaani umejibana kukusanya milioni zako flani, unamtafuta fundi na kumtajia idadi ya...
Kwa wapenzi wa kuweka nywele karikiti yenye kukaa miezi 3 bila kulitachi wanicheki kwa no 06788188066 au 0657932367. Nije kukuhudumia
Faida ya kalikiti.
1 inafanya uwe na mawimbi mazuri ambayo...
Karibuni kupata perfume mbalimbali kwa bei poa. Perfumes zote ni 35,000 hapa kuna unazopata na body splash yake kwa bei hiyo hiyo na jumla tunauza kuanzia 6 (Set 6) na ukichukua nyingi zaidi bei...
Habari ya muda huu ndugu zangu..
I'm a freelance Accountant doing the following
1. E-filing (PAYE & SDL)
2. Payrolls preparation
3. VAT returns preparation and filing
4. Preparation of books of...
Habar wakuu msaada wenu nauliza wapi naweza kuganyiwa massage na maprofesional nasumbuliwa na mgongo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
1. Two Stands rail net
Hii ni net👆 nzuri sana na classic sana, Kimuonekano ni kama inavyoonekana hapo juu, Zipo katika rangi 4 (Pink, Purple, Cream & White)
2. Two stand adjustable net...
Habari zenu mabibi na mabwana,
Natafuta gari ya kukodi Dar kwa muda wa wiki mbili au nne kutegemea na makubaliano. Nitakuwepo hapo Dar mwezi huu mwishoni, kama kuna mtu ana kampuni au anajua mtu/...
Nauza destop Aina ya dell Bei 170,000/=
Desktop Aina ya dell
Ram 2
Hard disk 320GB
CPU DUO 1.6Ghz
Hali: Imetumika
Mahali: Mkoa wa Dar es salaam
Simu no 0658 106 630
Karibu.
POWER BACKUP
Jipatie backup ya umeme ambayo inaweza kutunza power kwa zaidi ya masaa 8, Backup system inakuwa na inverter charger na battery.
Unaweza kuunganisha na mifumo kama CCTV CAMERA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.