Hagears-supplies - Tunasaidia kupata bidhaa bora moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji(viwanda) vya China hasa tukizingatia ubora wa bidhaa na bei nzuri kwa mfanya biashara wa kawaida, bila kusahau...
Habari wakuu,
Naomba mwenye usafiri au mwenye kujua bei za kusafisha mazao kutoka Karagwe kwenda Dar anijuze ni shilingi ngapi kwa gunia la kilo 100.
Asanteni
Ninahitaji mkopo wa milioni tatu 3.5 ili kuendeleza biashara yangu
Dhamana ya nyumba ipo
Sijaenda bank kwa kuwa sina tabia ya kutumia bank saaana hivyo basi bank statement yangu sio nzuri...
RABBIT/SUNGURA FRESH WHITE MEAT
TUNAUZA NYAMA YA RABBIT/SUNGURA
KWA ORDER
KILA SIKU YA JUMAMOSI NA JUMAPILI
1 KG = TSHS 15,000/=
TUNAPATIKANA KIMARA BARUTI
DELIVERY KWA DAR ES SALAAM IPO...
Nahitaji miti 500 ya miharadali kwa alienayo tayari kwa kupanda au tunaweza kuingia makubaliano ya kunioteshea
#Mahali popote pale miti ilipo nitaifuata mwenyewe
Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu.
(1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na...
Nina hiyo Benzi, ipo vizuri ndio inakaribia klm 125,000 na haijapoteza mfumo wake wa fuel consumption.
Kwa anayehitaji kununua na hata kubadilishana tuwasiliane 0629478005
A new Lodge located at Nzuguni Dodoma is looking for the following qualified staff
A full-time manager with at least 3 years’ experience and a diploma or degree in hotel management
A full-time...
Wakuu habari
Nauza sungura, wakubwa , Wapo sita nauza wote..
Bei ni 30000 tsh kila mmoja
Nipo Kimara, 07450 98591
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Sasa jiunge kwenye ajira bora kwako ya KUTOTOLESHEA mayai ya KUKU , KANGA, BATA, NJIWA N.K kwa kumiliki incubator au Kitotoreshi kwa ghara nafuu kutoka Kampuni yako pendwa MWALIMU GROUP LTD. Na...
Vuta unachopenda kwa kutumia Sukari
Sukari ni mmea dawa unaotoka kwenye Muwa, na kutokana na ladha yake, kuacha hivyo pia ladha na utamu wa sukari ulishawahi kuweka record ya dunia katika...
Je, umekuwa upo katika hali ya kujiuliza unaweza kujifunza ujuzi gani ambao utakuingizia pesa ya kujikimu kila siku. Nakumbuka mwaka 2015 nilikuwa kama wewe nimekaa nyumbani bila ujuzi wowote na...
Habari ya leo wakuu,
Napenda kuwajulisha kuwa nauza chemicals zote za uchenjuaji wa madini ya dhahabu.
Chemicals zote ikiwemo Sodium Cyanide, Activated Carbons, Caustic Sodas, Nitric Acid...
Kichwa chajieleza natafuta gari ya engine 1500 kushuka chini offer yangu ni million nne (4,000,000)
Piga simu au whatsapp 0759117175 Ukiwa Owner itakua vzr zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.