Nyumba ipo sokoni inahitaji finishing tu.
Piga sim kwa mmiliki 0692547049 au 0768628314
Ina vyumba vya kulala 4
Master 1
Sebure kubwa sana
Chumba cha chakula
Jiko
Stoo
Vyoo vya ndani
Kisima kipo...
Wakuu nawasalimu!
Tafadhali kama unajua duka (Dar es salaam ama Dodoma) ambalo naweza kununua hii mashine ya kuzibia chupa za mvinyo (wine) ambayo kwa Kiingereza wanaiita 'wine bottle corker...
Kiwanja kipo king’azi njia ya kinyerezi kwenda mbezi, sio mbali na kwa dr ndodi, kiwanja, umeme na maji vipo hapo hapo, bajaji kwenda mbezi ni buku, pikipiki zipo, magari ya kukatiza route kutoka...
Wakuu Wenzangu nauza hiki kitabu cha dua na Mafanikio ya Ukweli kwa Mwenye kukitaka nakiuza ni Dola 70 kimeandikwa kwa lugha ya Kiingereza haya karibuni kwa kila mwenye matatizo ya
maisha...
Kwa wanaohitaji aina yoyote ya visa ya marekani, Canada au schengen (Belgium, Germany, Italy, France, Norway ,Sweden, Denmark. Etc) ni PM tunakusaidia kuprocess visa, maandalizi ya interview...
Sina shaka na huduma za kitaalamu za Mwl.RCT. He is best compared to others. Maana nilinunua king'amuzi cha Best HD4U kwa mtu flani hata kujua account imebakiza muda gani alininyima elimu hiyo...
Habari'
KWA WAWEKEZAJI, MAABARA YA AFYA/ MEDICAL LABORATORY
Inauzwa.
Imekamilika kila kitu.
Umeme wa Tanesco na
sola poa ipo
Haina shida yoyote.
Mil.7 kwa mil. 11.5
Tayari ina kodi ya Miaka 6...
HP pavilion 360°
RAM 4GB
ROM 128GB
Kwa specifications zaidi angalia pics
mapungufu iliyonayo :-
1.Betri aidumu na chaji
2.Screen imecrack kidogo hivyo screentouch haifanyi kazi eneo hilo...
Bahati ya kununua kiwanja/nyumba kwa bei nafuu sana imejengwa kwenye kanuni maalumu. Kwa kanuni hiyo ni lazima uweke juhudi kubwa. Juhudi kubwa ndiyo ndugu wa bahati ya kununua kiwanja au nyumba...
Hili dude nilikuwa naweza kupikia kila kitu kasoro UGALI TU. KWA SABABU UGALI unahusisha kusonga. Wakati niko single.
Lipo sokoni kwa sasa sina matumizi nalo... NIMEOA. VERY STRONG.
BEI KITONGA...
Hello waungwa nauza Fiat yangu ya kubebea mchanga Iko kwa Mrombo ARUSHA . Iko vizuri sana
Ni kuwasha na kwenda Korongoni . Sababu za kuuza ni madereva wananizingua . Bei ni milioni 15 maongezi yapo
Ukumbi mpya wa KIMATAIFA Upo Masaki Dar wa mikutano na matamasha unaitwa The super dome
una kila kitu ndani yake
Fixed sound system
LED Screen
Stage
Fixed Lights
Fixed Camera
Tables and...
Sabato njema!
Ni HP, HDD ni 500GB, CPU ni 2.4 GHZ, RAM ni 8GB.
NB: Haina tatizo lolote isipokuwa battery yake haikai na chaji zaidi ya dk 30.
Location ni DSM.
Nataka niongeze hela ninunue mpya...
Kina ukubwa wa sqm 1566 kipo karibu na magorofa ya NSSF kimepimwa tayari hati inatoka moja kwa moja kwa jina lako huitaji transfer Bei ml 20 kipo mita 150 toka lami ilipo nicheki 0713672719/0787672719
Habari wana jukwaa!
TAARIFA: KIWANJA KIMESHAUZWA
Note: admin sijaelewa kwa nini tangazo la kwanza mmelifuta. Tafadhali naomba msifute au laah niambieni nakosea wapi
Nauza kiwanja changu kipo...
nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:-
64GB storage
4GB ram
6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana
13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora...