Dunia imebadilika sana kutokana na utekaji, mauaji, ubakaji na n.k.
Tumeshuudia Tanzania watu wakitokea na bila kujua wapo wapi na mwisho wasiku hakuna msaada wowote na ukienda kuomba msaada...
Habari JF?
Mimi nahusika na kutafutia watu viwanja na mashamba, nawaunganisha na wauzaji kwa bei nafuu kabisa.
Kwa sasa nina kiwanja maeneo ya kisesa karibu na round about ya usagara, mita 200...
Natafuta business partner tufungue kijiwe cha kuosha magari hapa mjini Dar es Salaam. Mimi nina Pressure pump na vaccum cleaner.
Tuchange fedha tupate eneo tuanze mdogo mdogo, aliye tayari au...
Habari wanaJamvi,
Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80.
Technical details za mashine zipo...
Ni Kinywaji ambacho hakiishii tu kuwa Kitamu Ulimini na Kooni bali pia huchoki hata Kukinunua na Kunywa mara kwa mara.
Hakika Kinywaji kipya cha SUPA COMANDO kinachotengenezwa na Kampuni ya Pepsi...
Je, una wazo la kumiliki Kampuni yako Tanzania?
Karibu Sharose Enterprise tupo kwa ajili yako.
Jukumu letu ni kukupatia ushauri na kukufanikishia usaidizi wa usajili wa Kampuni yako.
Watu wengi...
Habari wandugu
Karibu tukuhudumie. Tunatoa huduma za kubadili documents toka Swahili to English or English to Swahili. Pia tunafanya Grammar check, conversion to pdf from/Excel, word. Bei zetu ni...
Ndugu zangu habarini,nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakarbisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin.
Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
Ndugu zangu habarini,
Nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakaribisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin.
Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
Habari,
Nahitajii mtu wa Marketing mwenye uzoefu wa kutafuta wanafunzi kwa ajili ya vyuo vikuu.
Vyeti si muhimu, kama uko tayari nipigie tuongeee 0678650509.
NB: Wakazi wa Dar tu.
Habarini mwaka ndo ushaanza hivyo,
Ipo hivi unaweza ukawa unatafuta chumba au nyumba au hata kiwanja chenye specification flani unazotaka, lakini madalali watakuonyesha kitu tofauti kabisa...
Habari wana jukwaa,
Nahitaji kitanda cha foot 5 kwa foot 6
Mahali ni Dar
(Ikiwezekana kesho itakua vizuri zaidi)
Offer 100k
Kwa mwenye nacho nipe taarifa kupitia.
0785 857564
Tupo kwaajili yako wewe mjasiriamali na mfanyabiashara katika kukusaidia nyanja mbalimbali ya kuipa thamani biashara yako.
Je, Biashara yako yako inahitaji kutambulika kisheria?
Je, Biashara yako...
HABARI,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nauza migebuka kutoka kigoma kwa gharama ndogo tu ya shilingi elfu 2 mmoja mkubwa. Nakuletea mpaka ulipo kwa wakazi wa Dar Es Salaam endapo utaanzia...
Napenda kuwatangazia kuwa kiwanja kinauzwa, Taarifa za kiwanja [emoji116]
[emoji117] Mahala - Kata ya Mjimwema, wilaya ya Kigamboni, Dar es salaam.
[emoji117] Ukubwa ni mita 60 ×mita 50...
Jamanieeee... Heshima zenu wakubwa!
Maisha ya kupanga yamenichosha! Natamani sana ninunue kiwanja nianze ujenzi maana nikifikiria kodi ya nyumba + frame ya biashara nahisi kuchanganyikiwa tu...
Boomplay, App namba moja ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, imeshirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya simu, Halotel kuzindua kifurushi cha ‘Boomplay na Halotel’ ikiwa ni sehemu ya...