Bilionea kid
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 581
- 516
Habari! zenu wanajamvi?
Kama thread inavyo sema hapo juu
Wakuu kunajambo lanitatiza sana Mimi nipo arusha kama ujuavyo watu wa arusha meno yao jinsi yalivyo haya vutii yanarangi
Nimetafuta dawa ya kung'arisha meno nimekosa mwenye kujua nitumie nini ili meno yangu yawe meupe?
Nipo serious
Mungu awabariki
ππππππ
Kama thread inavyo sema hapo juu
Wakuu kunajambo lanitatiza sana Mimi nipo arusha kama ujuavyo watu wa arusha meno yao jinsi yalivyo haya vutii yanarangi
Nimetafuta dawa ya kung'arisha meno nimekosa mwenye kujua nitumie nini ili meno yangu yawe meupe?
Nipo serious
Mungu awabariki
ππππππ