Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

For your needs and entrepreneurship, we suggest you to consult us to get the best out of what we do! We sell the best incubators ever seen in Tanzania. KARIBUNI SANA. TEMBELEA...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Tunatengeneza vifaa mbalimbali vinavyotumia umeme kama ifuatavyo,pasi,heater,blenda,rice cooker,tv,ving'amuzi,simu,computer,subwoofer,home theater,speaker,amplifier,audio...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari zenu ndugu!! Naomba kwa yeyote ambae anaweza kuniuzia viti vya barbershop (used) Au mwenye connection ya wap naweza kupata hvo viti lkn used bas tuwasiliane. Bajeti yangu kidogo imeyumba...
0 Reactions
3 Replies
933 Views
HABARI NJEMA... katika kipindi hiki cha kufunga na kuanza mwaka mpya, na kufanyiwa makadilio ya kodi za TRA, ninayo furaha kubwa kukujuza wewe Mfanyabiashara kuwa unaweza kuokoa mpaka 50% ya...
1 Reactions
154 Replies
17K Views
Habarini za muda huu wadau. Watu wengi wamekuwa wakihangaika kupata msaada hasa wa printer za epson na nyinginezo huku wakikutana na mafundi vishoka ambao mwisho wa siku hujikuta wameharibiwa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini za majukumu wakuu!, Muhusika wa hii account ni mjasiriamali na mkulima mdogo ninae jihusisha na kilimo cha zabibu Dodoma kwa lengo kuu la kutengeneza Mvinyo (Wine) na wine hizo...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Wakuu, nina uhitaji wa kifaa hicho kiwe ktk ubora ambao bado kinaweza kutumika kuendeshea mashine, kwani nimekutana na changamoto ya umeme pungufu kwenye shughuli yangu. Weka Bei na picha, karibu...
1 Reactions
4 Replies
532 Views
liko fresh na linapiga starter, gia 5 namba ARP. Ipo laela-sumbawanga hapa kutoka tunduma ni saa 1 tu. Mawasiliano: 0625522261
0 Reactions
11 Replies
2K Views
#TendaTraders *Kwa mahitaji yako ya vifaa mbali mbali vya umeme na sola kwa bei nafuu (Bei Elekezi) Karibuni sana. *Kwa ufindi wa umeme na sola majumbani na viwandani kwa bei zisizomchosha...
0 Reactions
4 Replies
978 Views
Horizon Digital Accessories ni wauzaji wa Computers Tower/ Desktop kwa bei ya jumla na rejareja. Bidhaa zetu ni nafuu na za ukakika, pia tuna uza KEYBOARD, POWERCABLE, MOUSE pamoja na SCREEN...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Ninazo soundbar za vizio 5.1 Ziko vizuri sana na full tested Zina bass booster, soundbar na spika mbili ndogo kuongeza sauti Bei ni 450,000/= maongezi kidogo yapo. 0765981354
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Intel (R) Core(TM)2 Duo CPU 3.00 GHz. 300GB Hard disk. 4GB RAM. Imetumika Miezi 11. Bei ni Tsh. 220,000/= Mawasiliano 0659417330.
0 Reactions
0 Replies
455 Views
Nyumba ina vyumba viwili kimoja master na choo Cha public sitting room pamoja na jiko Kodi laki nne kwa miezi 6 (400,000) Nyumba ipo nyuma ya stendi ya mabus ya Magufuli Mbezi
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Pendezesha nyumba yako kwa aluminium (kwabei nafuu kabisa) nakufikia popote ulipo. Napatikana dareslaam (mikoani pia nakufikia). 0686141321.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa mahitaji ya mwalimu wa masomo ya ziada nyumbani (privately) wasiliana nasi kupitia +255653175533
2 Reactions
3 Replies
509 Views
Habari za Leo wana jamii forum Nina maeneo mawili nayauza yapo Kibaha Kiwanja kipo maili moja(35*25) eneo linaitwa Loliondo Karibu na stand mpya Bei ni 15M (maongezi yapo) Nyumba ipo kibaha(eneo...
0 Reactions
1 Replies
508 Views
Dell Optiplex 7050 Gaming Machine Core i7 7700 Ram 8gb HDD 1TB Nvidia gt 630 ipo vizuri kwa gaming na video editing Njoo inbox na offer
1 Reactions
2 Replies
752 Views
habari nauza fridge lita 109 bado mpyaa imetumika kidogo haimjui fundi hautajutia inapatikana manzese dar es salaam fridge sio kubwa sana ni futi 4 urefu bei 350000 sold sold sold sold
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Karibu sana kwenye Kulasa za Dovillen Property Facebook, Instagram, twitter, Jamiiforums nk Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Gramu 54, Tshs 3,000,000/=, Gramu 40 rangi ya Disel Tshs 2,000,000/= na Gramu 25 Tshs 1,000,000/=
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…