For your needs and entrepreneurship, we suggest you to consult us to get the best out of what we do! We sell the best incubators ever seen in Tanzania. KARIBUNI SANA. TEMBELEA...
Tunatengeneza vifaa mbalimbali vinavyotumia umeme kama ifuatavyo,pasi,heater,blenda,rice cooker,tv,ving'amuzi,simu,computer,subwoofer,home theater,speaker,amplifier,audio...
Habari zenu ndugu!!
Naomba kwa yeyote ambae anaweza kuniuzia viti vya barbershop (used)
Au mwenye connection ya wap naweza kupata hvo viti lkn used bas tuwasiliane.
Bajeti yangu kidogo imeyumba...
HABARI NJEMA... katika kipindi hiki cha kufunga na kuanza mwaka mpya, na kufanyiwa makadilio ya kodi za TRA, ninayo furaha kubwa kukujuza wewe Mfanyabiashara kuwa unaweza kuokoa mpaka 50% ya...
Habarini za muda huu wadau.
Watu wengi wamekuwa wakihangaika kupata msaada hasa wa printer za epson na nyinginezo huku wakikutana na mafundi vishoka ambao mwisho wa siku hujikuta wameharibiwa...
Habarini za majukumu wakuu!,
Muhusika wa hii account ni mjasiriamali na mkulima mdogo ninae jihusisha na kilimo cha zabibu Dodoma kwa lengo kuu la kutengeneza Mvinyo (Wine) na wine hizo...
Wakuu, nina uhitaji wa kifaa hicho kiwe ktk ubora ambao bado kinaweza kutumika kuendeshea mashine, kwani nimekutana na changamoto ya umeme pungufu kwenye shughuli yangu. Weka Bei na picha, karibu...
#TendaTraders
*Kwa mahitaji yako ya vifaa mbali mbali vya umeme na sola kwa bei nafuu (Bei Elekezi)
Karibuni sana.
*Kwa ufindi wa umeme na sola majumbani na viwandani kwa bei zisizomchosha...
Horizon Digital Accessories ni wauzaji wa Computers Tower/ Desktop kwa bei ya jumla na rejareja.
Bidhaa zetu ni nafuu na za ukakika, pia tuna uza KEYBOARD, POWERCABLE, MOUSE pamoja na SCREEN...
Ninazo soundbar za vizio 5.1
Ziko vizuri sana na full tested
Zina bass booster, soundbar na spika mbili ndogo kuongeza sauti
Bei ni 450,000/= maongezi kidogo yapo.
0765981354
Nyumba ina vyumba viwili kimoja master na choo Cha public sitting room pamoja na jiko
Kodi laki nne kwa miezi 6 (400,000)
Nyumba ipo nyuma ya stendi ya mabus ya Magufuli Mbezi
Habari za Leo wana jamii forum
Nina maeneo mawili nayauza yapo Kibaha
Kiwanja kipo maili moja(35*25) eneo linaitwa Loliondo Karibu na stand mpya
Bei ni 15M (maongezi yapo)
Nyumba ipo kibaha(eneo...
habari nauza fridge lita 109 bado mpyaa imetumika kidogo haimjui fundi hautajutia inapatikana manzese dar es salaam fridge sio kubwa sana ni futi 4 urefu bei 350000
sold sold sold sold
Karibu sana kwenye Kulasa za Dovillen Property
Facebook, Instagram, twitter, Jamiiforums nk
Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk...