kama una mahitaji mbali mbali ya tiles za bei nafuu na zenye ubora wa hali ya juu usiwe na wasiwasi kwani HUFAT Group wamekufikia, utapata tiles za kila aina, wall tiles, floor tiles na accessory zake kama vile grout, strips, spenser na waterproof cement.
wall tiles
zipo za ukubwa huu
-25x40
-20x30
-30x45
-20x60
-30x60
hizi ni baadhi ya sample
hizi ni tiles zetu nzuri sana zenye finishing kama mawe ya Tanga , tiles hizi hufanya ukuta uwe na feel ya mawe, chipping au vitofali vidogo vidogo
kama unavyoona kwenye picha, kushoto ni ukuta uliotumia mawe ya tanga na kulia ni sample za tiles
bei zake hizi ni shilingi 28,000
tiles hizi ni za ukuta ambazo unaweza kuzitumia mahala popote, kuanzia ukuta wa nje, wa ndani, chooni, kwenye nguzo nk, uzuri wake ni kwamba zinakaa piece nyingi hivyo mfuko pia unaulinda. finishing ya tiles hizi inazifanya zing'are kwenye mwanga, unaweza hata ukaiona sura yako.
bei yake ni 16,000
floor tiles
zipo za ukubwa huu
-30x30
-40x40
-45x45
-50x50
-60x60
tiles hizi ndio common kwenye tiles za sakafu, hata bei yake sio kubwa sana, finishing yake inakwaruza na haitelezi hivyo kuzifanya ziwe nzuri kwenye maeneo yanayoingia maji kama jikoni, bafuni, chooni, kwenye corridor etc unaweza pia kueka maeneo mengine ya nyumba/ofisi. pia bei yake ni nafuu kuanzia 13,000
hizi ni tiles kubwa sana za sakafu zipo za granite, marble na rust tiles hizi zipo zinazo ng'aa, kama umewahi kwenda chuo kikuu dodoma ule ndio mfano wake na zipo ambazo hazitelezi zenye finishingi ya rust. hizi zinafaa project kubwa, shule, vyuo, maofisi na nyumba kubwa
bei as cheap as 33,000
tiles za bei nafuu
tiles hizi zinauzwa shilingi 8,000 tu kwa box na zinakaa piece 16, ni nzuri kwa watu ambao mfuko sio mzuri
unahitaji tiles ngapi?
kama unafahamu ukubwa wa eneo lako na unahitaji tiles unaweza kusema hapa ili tufanye mahesabu, mfano utasema chumba changu kina mita 3 kwa 3 nitakuambia idadi ya box za tiles husika unazohitaji
kusave mb
kusave mb zako nimeshindwa kueka picha zote hivyo kama unataka picha zaidi tunaweza wasiliana whatsapp, au pm na aina unazotaka uzione zaidi
samahani
website yetu kwa sasa ipo kwenye matengenezo ila muda si mrefu itakuwa online
mawasiliano na mahala tulipo
tunapatikana congo na mbaruku kariakoo, duka linaangalizana na congo trading wanapouza vifaa vya mabomba na namba ya simu ni hii 0773-980000
bei
bei nimeeka kwenye picha na maelezo, inashuka kidogo kama unanunua kwa jumla
wall tiles
zipo za ukubwa huu
-25x40
-20x30
-30x45
-20x60
-30x60
hizi ni baadhi ya sample
hizi ni tiles zetu nzuri sana zenye finishing kama mawe ya Tanga , tiles hizi hufanya ukuta uwe na feel ya mawe, chipping au vitofali vidogo vidogo
kama unavyoona kwenye picha, kushoto ni ukuta uliotumia mawe ya tanga na kulia ni sample za tiles
bei zake hizi ni shilingi 28,000
tiles hizi ni za ukuta ambazo unaweza kuzitumia mahala popote, kuanzia ukuta wa nje, wa ndani, chooni, kwenye nguzo nk, uzuri wake ni kwamba zinakaa piece nyingi hivyo mfuko pia unaulinda. finishing ya tiles hizi inazifanya zing'are kwenye mwanga, unaweza hata ukaiona sura yako.
bei yake ni 16,000
floor tiles
zipo za ukubwa huu
-30x30
-40x40
-45x45
-50x50
-60x60
tiles hizi ndio common kwenye tiles za sakafu, hata bei yake sio kubwa sana, finishing yake inakwaruza na haitelezi hivyo kuzifanya ziwe nzuri kwenye maeneo yanayoingia maji kama jikoni, bafuni, chooni, kwenye corridor etc unaweza pia kueka maeneo mengine ya nyumba/ofisi. pia bei yake ni nafuu kuanzia 13,000
hizi ni tiles kubwa sana za sakafu zipo za granite, marble na rust tiles hizi zipo zinazo ng'aa, kama umewahi kwenda chuo kikuu dodoma ule ndio mfano wake na zipo ambazo hazitelezi zenye finishingi ya rust. hizi zinafaa project kubwa, shule, vyuo, maofisi na nyumba kubwa
bei as cheap as 33,000
tiles za bei nafuu
tiles hizi zinauzwa shilingi 8,000 tu kwa box na zinakaa piece 16, ni nzuri kwa watu ambao mfuko sio mzuri
unahitaji tiles ngapi?
kama unafahamu ukubwa wa eneo lako na unahitaji tiles unaweza kusema hapa ili tufanye mahesabu, mfano utasema chumba changu kina mita 3 kwa 3 nitakuambia idadi ya box za tiles husika unazohitaji
kusave mb
kusave mb zako nimeshindwa kueka picha zote hivyo kama unataka picha zaidi tunaweza wasiliana whatsapp, au pm na aina unazotaka uzione zaidi
samahani
website yetu kwa sasa ipo kwenye matengenezo ila muda si mrefu itakuwa online
mawasiliano na mahala tulipo
tunapatikana congo na mbaruku kariakoo, duka linaangalizana na congo trading wanapouza vifaa vya mabomba na namba ya simu ni hii 0773-980000
bei
bei nimeeka kwenye picha na maelezo, inashuka kidogo kama unanunua kwa jumla