Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 878
- 814
Uongozi wa shule ya St. Marcus iliyopo Iwambi jijini Mbeya unatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha tano kwa michepuo ya HGL,HKL na HGK.fomu za kujiunga na shule zinapatikana Shule Iwambi jijini Mbeya na Dar es salaam Msimbazi centre chumba namba 19
View attachment 2602774
View attachment 2602774