Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Closed
Wana JF kama kuna mmoja wetu anafahamu namba ya simu ya ofisi za Dar Express Bus ninaomba anipatie
0 Reactions
5 Replies
25K Views
habari wana JF Natafuta Nyumba ya kuishi maeneo ya Kurasini, Karume au karibu na mjini. Iwe ya chumba kimoja au viwili vya kulala pamoja na Nakshi nyingine muhimu ndani ya nyumba kama Jiko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waungwana, Nimeamua kuuza gari yangu, aina ya Mitsubishi Pajero Mini, ya mwaka 1997, 4WD, ambayo iko kwenye hali nzuri. Bei ni TShs 2.5 million, sishuki chini ya hapo. Nina shida ya hela, si...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Wakulu wa jamvi habari za siku. Nina shida mbili ambazo nitahitaji ushauri wenu, Hapa Tanzania ni kampuni gani inayotoa service ya Domain Registration kwa bei nzuri na ambayo siyo yakubabaisha...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wadau nahitaji sana kuwapata maajent wa sony-bongo kwani natafuta sana remote control ya radio yangu (orijino) nimetafuta sana madukani nikakosa labda wanaweza kuagiza nje
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Nimesikia Mr Khalfan Hemed Khalfan amefariki dunia na kuzikwa jana, ni mwanzilishi wa Zanzibar Association of the Disable.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wana jamii,. Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
HI ya"ll...I just want to let you know that nachukua likizo bila malipo kuingia hapa JF.....I have some business to take care and also i need to smell some fresh air...... You all have a...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wandugu Natafuta nyumba jijini Dar es Salaam kwa ajili ya familia (muhimu iwe yenye vyumba viwili vya kulala na parking). Naomba yeyote mwenye kujua au anayepangisha nyumba anitaarifu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kuna web designer kati yetu naomba anitumie PM. Shukrani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Members, If there is anyone who has been through the army or at least JKT, could they assist me in this matter. I need the drill commands that we use for marching. I know some of them but I...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Salaam! Ninatafuta contacts za Chama cha Maalbino Tanzania na hasa viongozi wake. Yeyote mwenye kuwa nazo naomba tafadhali mnipitishie. Ni muhimu sana. Shukrani.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
World First for Tanzanian Biofuel Nut Project 14 January 2009 By Darren Taylor Washington Voice of America – Pan Africa News A revolutionary new development project in Tanzania is set to...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa Moderators na Mello Naona kuna matangazo toka makampuni yaliyo nje ya Tanzania. Naamini yanalipia matangazo hayo. Lakini ufahamu wangu ni mdogo, nadhani huwa site italipwa tu kama mtu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nina rafiki yangu dar es salaam ambaye anatafuta passport kwa vile anategemea kunitembelea mwezi wa saba huku nilipo nje ya bongo,sasa kule uhamiaji anatakiwa aambatanishe barua ya mwaliko,naomba...
0 Reactions
18 Replies
12K Views
Latest Episode ya Prison Break itatoka lini au kama mtu anayo atumwagie hapa jamvini kwa sababu huku Tz latest version ni Episode 9 wakati zinakotoka wanadai ni Episode 4 nahisi hapa kuna wizi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
hiyo ni title ya riwaya ambayo bila shaka wewe mtanzania itakufaa na kukuamsha katika mengi, hali kadhalika kukuburudisha. iko pale chuo kikuu idara ya TUKI. unaonaje ukapata kopi yako ndugu?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mheshimiwa na shujaa wetu, Hon Dr. Harrison Mwakyembe amefiwa na mpendwa Mama yake mzazi, kwa mujibu wa mtangazo ya vifo ya Radio Free Afrika monitored here in Mbeya this morning Mpendwa marehemu...
0 Reactions
60 Replies
9K Views
Leo jioni nilipitia pale tawi la Yanga buguruni adjacent na shule ya msingi Buguruni kumsalimi mzee mmoja anaitwa Makumbi. Nikawakuta jamaa wawili wamekaa kwenye benchi wanapiga story...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Waheshimiwa nimetumiwa hii kitu nimona nishee nanyi. Natumaini huko bongo mambo yatakuwa si haba, Nakumbuka sana zile enzi zetu za kughani mahsiri shuleni sijui kama ile spirit bado inaendelea...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…