habari wana JF
Natafuta Nyumba ya kuishi maeneo ya Kurasini, Karume au karibu na mjini.
Iwe ya chumba kimoja au viwili vya kulala pamoja na Nakshi nyingine muhimu ndani ya nyumba kama Jiko...
Waungwana,
Nimeamua kuuza gari yangu, aina ya Mitsubishi Pajero Mini, ya mwaka 1997, 4WD, ambayo iko kwenye hali nzuri.
Bei ni TShs 2.5 million, sishuki chini ya hapo. Nina shida ya hela, si...
Wakulu wa jamvi habari za siku.
Nina shida mbili ambazo nitahitaji ushauri wenu, Hapa Tanzania ni kampuni gani inayotoa service ya Domain Registration kwa bei nzuri na ambayo siyo yakubabaisha...
wadau nahitaji sana kuwapata maajent wa sony-bongo kwani natafuta sana remote control ya radio yangu (orijino) nimetafuta sana madukani nikakosa labda wanaweza kuagiza nje
Habari wana jamii,.
Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na...
HI ya"ll...I just want to let you know that nachukua likizo bila malipo kuingia hapa JF.....I have some business to take care and also i need to smell some fresh air......
You all have a...
Wandugu
Natafuta nyumba jijini Dar es Salaam kwa ajili ya familia (muhimu iwe yenye vyumba viwili vya kulala na parking).
Naomba yeyote mwenye kujua au anayepangisha nyumba anitaarifu...
Members,
If there is anyone who has been through the army or at least JKT, could they assist me in this matter.
I need the drill commands that we use for marching. I know some of them but I...
Salaam!
Ninatafuta contacts za Chama cha Maalbino Tanzania na hasa viongozi wake. Yeyote mwenye kuwa nazo naomba tafadhali mnipitishie. Ni muhimu sana.
Shukrani.
World First for Tanzanian Biofuel Nut Project
14 January 2009
By Darren Taylor
Washington
Voice of America Pan Africa News
A revolutionary new development project in Tanzania is set to...
Kwa Moderators na Mello
Naona kuna matangazo toka makampuni yaliyo nje ya Tanzania. Naamini yanalipia matangazo hayo. Lakini ufahamu wangu ni mdogo, nadhani huwa site italipwa tu kama mtu...
nina rafiki yangu dar es salaam ambaye anatafuta passport kwa vile anategemea kunitembelea mwezi wa saba huku nilipo nje ya bongo,sasa kule uhamiaji anatakiwa aambatanishe barua ya mwaliko,naomba...
Latest Episode ya Prison Break itatoka lini au kama mtu anayo atumwagie hapa jamvini kwa sababu huku Tz latest version ni Episode 9 wakati zinakotoka wanadai ni Episode 4 nahisi hapa kuna wizi...
hiyo ni title ya riwaya ambayo bila shaka wewe mtanzania itakufaa na kukuamsha katika mengi, hali kadhalika kukuburudisha. iko pale chuo kikuu idara ya TUKI. unaonaje ukapata kopi yako ndugu?
Mheshimiwa na shujaa wetu, Hon Dr. Harrison Mwakyembe amefiwa na mpendwa Mama yake mzazi, kwa mujibu wa mtangazo ya vifo ya Radio Free Afrika monitored here in Mbeya this morning
Mpendwa marehemu...
Leo jioni nilipitia pale tawi la Yanga buguruni adjacent na shule ya msingi Buguruni kumsalimi mzee mmoja anaitwa Makumbi. Nikawakuta jamaa wawili wamekaa kwenye benchi wanapiga story...
Waheshimiwa nimetumiwa hii kitu nimona nishee nanyi. Natumaini huko bongo mambo yatakuwa si haba, Nakumbuka sana zile enzi zetu za kughani mahsiri shuleni sijui kama ile spirit bado inaendelea...