Kwa wenye kuitaji software kwa ajiri ya Saccos wani PM. the features of the software are at
local training,installation and support is available here in Tanzania
Kuna nyumba ya kupanga ipo kama kilomita mbili na nusu kutoka Morogoro Road, Mbezi Luis/ au kwa yusufu kuelekea mpiji magoe. Nyumba yenyewe in Chumba kimoja cha kulala, sebule, jiko na stoo. Choo...
jumuiya ya leyton muzdalifaah inawatangazia muhadhara waislamu wote utakaofanyika katika holi lao la leyton jumamosi ya tarehe 27/03/2010
adress:
33 clyde place,
leyton,
london
e10 5as...
1999 model auto nyeupe milango mitano.
Ipo katika hali nzuri sana. Wai, usichelewe.
Bei 7.7mil.
Kwa maelezo piga simu zifuatazo. 0717114409 au 0755312233
toyota mark 2 gx 110
2004 model
metalic color
1990CC
75,000 odometer
sports rims, CD changer, TV, airbag, ABS, PS, PW,
bumper iligongwa kdg but imerudishiwa vizuri na ukitaka unawekewa mpya...
Ninatafuta aerial maps za Kata ya Kimbiji, hususan zile zinazoonesha kijiji/mtaa wa Kizito Huonjwa. Nafahamu Wizara ya Ardhi ina aerial maps za Tanzania yote. Je, wapi ninaweza kupata za Kimbiji...
Natafuta nyumba ya kupanga ambayo ipo tayari kwa kuhamia sasa hivi.
iwe na vyumba 2 vya kulala, sitting room, choo/bafu, jiko,maji, umeme,
parking ya gari kuanzia 2, na usalama.
maeneo...
wakuu,nimekwama kumalizia kakibanda kangu ili nihame kwa mama mwenye nyumba!!tatizo ni wapi ninaweza kukopa tiles na kulipia kidogokidogo nimalizie hii ishu yangu!!
wasalaam
HOUSE IS AVAILABLE FOR RENT .Please Click http://www.tanzaniarealestates.com/KDR4001.htm
Physical Address: Area: Ununnio Beach ,Boko Basihaya near Kunduchi.
Rental Price: 500,000 Shillings...
Yeyote anayehitaji huduma ya matibabu na maendeleo ya mifugo ya aina zote basi ninaomba aniPM kwa mawasiliano zaidi.
Nashukuru sana kwa ushirikiano na mnakaribishwa!
Kila la kheri!
Joyce Joliga,Songea
KATIKA hali ya kusikitisha, mwanaume aliyetambuliwa kuwa ni Mwidadi Hamisi,(32) mkazi wa Bombambili mjini Songea, mkoani Ruvuma, amemnyonga mtoto wake wa umri wa miaka...
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema makali ya mgawo wa umeme yaliyotangazwa juzi, yamepungua kutokana na...
Proffessor Karim K.N.HIRJI amefariki, mazishi yake kesho 16/03/2010 huko Njiro Makaburini, Arusha!
Hirji alikuwa Msomi na Mweledi aliyebobea, akiwa amefanya kazi nyingi za utafiti.
Alipata kuwa...
Na Mwandishi Wetu
Wakati jamii ya muziki wa Kizazi Kipya na mashabiki wao wakiwa bado katika maombolezo ya msiba wa Julieth D. Mrina Pendo (24), kubwa zito limeibuka kuhusu anayetajwa kuwa...
(Amendment ya tangazo la tarehe 15.03.2010)
Natafuta nyumba ya kupanga ambayo ipo tayari kwa kuhamia sasa hivi.
iwe na vyumba 2 vya kulala, sitting room, choo/bafu, jiko,maji, umeme,
parking ya...