Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,805
- 173
WanaJF,
Kuna nyumba mbili zauzwa jijini DSM eneo la kipunguni-mashariki jirani ya kitunda kama ifuatavyo:-
1. NYUMBA YA KWANZA
Ina vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sitting rum, veranda, internal toilets, well fenced. Bei yake ni tsh: 40,000,000/=
NB: Haina eneo la ziada kwa kuendeleza chochote, nyumba hii ni kubwa.
Kwa mawasiliano: 0652-685070
2. NYUMBA YA PILI
Ni ndogo na ni ya uwani, ina vyumba 3, ina sebule ndogo, ina car parking, ina minor veranda,
NB: Ina eneo kubwa lenye uwezo wa kujenga nyumba kubwa 2 na zote zikawa fenced, bali pia sehemu kubwa ya garden inawezekana kuwekwa. Bei ni tsh: 45,000,000/=
Kwa mawasiliano: 0715-988888.
Maeneo haya yote ni HAYAJAPIMWA na yalikuwa ni mashamba ya minazi/mikorosho,
Kuna nyumba mbili zauzwa jijini DSM eneo la kipunguni-mashariki jirani ya kitunda kama ifuatavyo:-
1. NYUMBA YA KWANZA
Ina vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sitting rum, veranda, internal toilets, well fenced. Bei yake ni tsh: 40,000,000/=
NB: Haina eneo la ziada kwa kuendeleza chochote, nyumba hii ni kubwa.
Kwa mawasiliano: 0652-685070
2. NYUMBA YA PILI
Ni ndogo na ni ya uwani, ina vyumba 3, ina sebule ndogo, ina car parking, ina minor veranda,
NB: Ina eneo kubwa lenye uwezo wa kujenga nyumba kubwa 2 na zote zikawa fenced, bali pia sehemu kubwa ya garden inawezekana kuwekwa. Bei ni tsh: 45,000,000/=
Kwa mawasiliano: 0715-988888.
Maeneo haya yote ni HAYAJAPIMWA na yalikuwa ni mashamba ya minazi/mikorosho,