M Mrekebishaji Senior Member Mar 19, 2009 168 63 Feb 8, 2011 #1 Ni Baloon, Mark II, 4 Cylinder, Manual, ipo kyk hali nzuri sana.
Jaluo_Nyeupe JF-Expert Member Dec 21, 2010 2,697 1,962 Feb 8, 2011 #2 Asante kwa taarifa, ila tangazo lako halifanani kabisa na tangazo la kuuza gari.
czar JF-Expert Member Oct 11, 2010 339 5 Feb 8, 2011 #3 Kuna vitu vya msingi unapouza nyumba,gari nk hasa online na hujazingatia hata moja.
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Feb 9, 2011 #4 eti kumbe umeona czar? huyu jamaa hajui hata jinsi ya kutoa taaarifa ya matangazo czar said: Kuna vitu vya msingi unapouza nyumba,gari nk hasa online na hujazingatia hata moja. Click to expand...
eti kumbe umeona czar? huyu jamaa hajui hata jinsi ya kutoa taaarifa ya matangazo czar said: Kuna vitu vya msingi unapouza nyumba,gari nk hasa online na hujazingatia hata moja. Click to expand...