Ipad na ipod zinauzwa

Ipad na ipod zinauzwa

Nyamburi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
306
Reaction score
37
Wadau ninauza ipad na ipod,bei ni poa kabisa,yeyote ambae yuko interested an PM au simu 0755646049
 
Boresha Tangazo lako weka vifuatavyo:-
-Picha ya unachouza
-Specifications
-Zinapotatikana na mawasiliano
Asante sana.
 
weka habari kwa uzuri uone pm zitakavyofululiza, isije ikawa brother kaweka dukani kwake na wewe unatafuta cha juu. We need Specification + Price
 
Boresha Tangazo lako weka vifuatavyo:-
-Picha ya unachouza
-Specifications
-Zinapotatikana na mawasiliano
Asante sana.

Sawa mkuu,nitaboresha muda si mrefu,ila picha itakua ngumu muda huu,maana nimeziacha Dar na mimi niko mkoa,kifup ipad ni hz latest,nitaboresha tangazo muda si mrefu
 
weka habari kwa uzuri uone pm zitakavyofululiza, isije ikawa brother kaweka dukani kwake na wewe unatafuta cha juu. We need Specification + Price

Hahahah,mkuu umenichekesha hakuna cha juu,hiyo kitu ni yangu,naboresha tangazo muda si mrefu,ila ipad ni hizi ipad 2,zipo Dar es salaam
 
Haujaeleweka kaka, hasa hapoo kwenye iPad, ni iPad2 Au 1? specifications zake ni zipi? Naomba na bei tafadhali, kama unaona noma kuzibandika hapa unaweza kunifowadia kwa pm. Thanx
 
Haujaeleweka kaka, hasa hapoo kwenye iPad, ni iPad2 Au 1? specifications zake ni zipi? Naomba na bei tafadhali, kama unaona noma kuzibandika hapa unaweza kunifowadia kwa pm. Thanx
nimekosea kidogo mkuu,nashukuru kwa kunisahihisha,ipod ndio latest ila ipad ni ipad1,image zitakuja soon maana me ni mkoani na hizo zipo Dar,specs hizo hapo juu!ziko na full accesories
 
Weka picha tuone. Isije zikawa za wale jamaa zetu wafupi wenye Macho Madogo.
 
Weka picha tuone. Isije zikawa za wale jamaa zetu wafupi wenye Macho Madogo.

DzQ16GRaLPTlAAAAAElFTkSuQmCC
 
Wadau nashukuru,biashara imekwisha,bidhaa zilikua mbili na zote zimeshauzwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom