Shamba lenye ukubwa wa ekari 6 linauzwa kibaha kwa mathias kilometa moja kutoka morogoro road ni eneo flat linafaa kwa kujenga yard,shule au matumizi mengine kwa anayehitaji wasiliana na Swedi...
Habari zenu wakuu, naombeni mnielekeze sehemu hapa dar ambayo nitaweza kununua refill kit kwa ajili ya catrages za HP, nimetembelea sehemu nyingi hapa dar wengi wao wanarefill tu hawauzi tonner au...
habari zenu wana JF!
Natafuta mtaalamu wa ku design a small in-ground swimming pool (for domestic use only). Nimeomba quote toka kampuni moja ya ujenzi wameniambia bei ambayo naona iko inflated...
Habari wakubwa,
Nauza hiyo Bold Inakua na charger na earphone
Bei ndo hiyo 350000
Napatikana Dar na unaweza nichek kwa namba 0655-003510 kama unahitaji.
Brand:Nissan
Model: Nissan march
Year of manufacture: 2001
Colour: lighty blue
Location : Dar es salaam
Kilometer: 100000
Other features: DVD music system,alloy rims,tinted ,good...
Nyumba inapangishwa Mbezi luisi, mabasi yanapogeuzia.
Vyumba vitatu vya kulala, kimoja master bedroom, jiko, sebule kubwa na dinning room.
ipo ndani ya fensi na kuna tenki la maji lita 1000...
Nyumba inapatkana mbezi makonde, ina vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo cha ndan(public toilet), iko kwenye shared compound, car parking kubwa. Kodi kwa mwezi ni Tsh 200,000 kwa miez...
uta mwalimu kwa ajili ya kulea na kufundisha watoto kwenye kituo cha kulelea watoto kuanzia march 5.
awe na uzoefu wa kulea watoto, awe na elimu ya malezi ya watoto, na awe na upendo kwa watoto.
S
Nokia 5233 Quad Band Unlokced Touch Screen Phone (Black)
Nokia 5233 (the cheapest touchscreen device from Nokia) delivers total music and great experience at a very affordable price. Enjoy up...
Mitsubishi Pajero io for sale (year 1999), millage 87,000 km. price Tzs 13ml. imported from Japan in July 2011. It is in a very good condition. If interested call on 0784 623395/0655623395. email...
Jaman wana Jamii mi ni kijana mmoja wa vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka huu na nipo ARUSHA,nina tafuta tempo kwa kipindi hichi ninachosubiria matokeo ili mradi tu iwe ni kazi halali na...
Nyumba ya kupanga ipo mbezi juu kupitia massana hospital (mbezi beach).Ipo kuanzia tarehe 1/3/2012. Inamaster bedroom, vyumba vingine viwili, toilet na small sitting rm. Gharama yake ni Tsh...
Wakuu naomba mnishauri kwa shilingi Milioni 3 naweza pata kiwanja kizuri maeneo gani? Angalau kisiwe pembeni sana ya DSM ukubwa usiwe chini ya 20x20.
Je inawezekana kumpata mtu anayeuza kiwanja...