TheTruth
Member
- Apr 1, 2012
- 29
- 3
Wana JF, natafuta nyumba ya kupanga iwe ni self ndogo yenye vyumba viwili vya kulala na mengineyo muhimu, maji na umeme pia yawepo, Iwe maeneo yeyote kuanzia Usa-River mpaka pale Ngulelo Arusha au kwa ndani ndani kidogo kuelekea Meru juu. Naomba Mtu yeyote mwenye taarifa ya upatikanaji wa Nyumba hii anisaidie kwa hili! Asante