Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza 2 fuel mobile tanks German made each tank 600 litters. Yana pump na reading guage. numba yangu ya simu - 0765 183323 Best for contractors
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Wakuu nina computer dell pentium 4,Hd 160gb,Ram 512,screen hp 21 inch. Siyo flat ina vga pin mbili means unaweza ku tumia cpu 2 on the same monitor. Contact 0719081205
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, anayehitaji moja ya bidhaa hizi ani PM Majadiliano yapo. 0655123683 0759123683 Safisha Nyumba mimi... Bidhaa Bei Maelezo Zaidi Dish Futi 6 na decoder yake(Mediacom) 180,000 Madishi ya...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Nina fursa kupata magari ya kila aina kutoka Uingereza kwa Ndg yangu anaeishi huko lakini sina soko(used)
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina eneo kubwa zaidi ya nusu heka hapa Upanga Dar - Es - Salaam,eneo ni zuri kwa ajiri ya kitega uchumi , kama apartment n.k , eneo lipo kiharali na kila nyaraka muhimu ipo. eneo limezungushiwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nahitaji chumba kimoja self contained chenye tiles, ambacho kiko ndani ya gate mjini Morogoro,tafadhali kama huwezi sema hapa,basi nipigie 0765829257
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nategemea kuhamia arusha mapema mwezi ujao kwa neema ya mungu.naitaji nyumba au vyumba viwili vya kupanga.sio mwenyeji arusha ila ofisi yangu itakua eneo la njiro karibu na chuo cha esami...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello! Make & Model: Toyota Platz 2001, Imported: 2008 Engine:1000cc Km: 70,000 Automatic, Power Windows, CD Player, Fuel Efficient, Comfy, and in Excellent Condition. Contact :0715140247.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa huduma za designing na printing invitation cards business cards bronchures callenders banners printing posters fliers logos na Public Relation and Advertising ideas and planning. Tunajali...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Wandugu, kama kuna mtu anauza huo mzigo tajwa hapo juu, plz funguka. Bei 150-160
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunasupply electronic door locks kutoka germany. Kifupi tu ni kuwa hivi vitasa vinafunguliwa na kadi za kielectronic. Faida ya hivi vitasa Alarm ya uvamizi(burglary alarm) Alarm ya kukukumbusha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndug wana JF.,Habari zenu.. Nauza bajaj 2 aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zinatembea barabarani. Kwa kila moja bei yake ni sh MILLIONI MOJA NA LAKI NANE (Tsh 1,800,000). Zipo eneo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kimepimwa na tayari kimewekwa jiwe, ndani yake kuna nyumba 2. eneo lipo sehemu nzuri sana kwa matumizi ya biashara ya Shule , chuo au unaweza badilisha matumizi ili kiendane na matakwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Scania 113/380 Year 1994 bei milioni 58, in two week time nitakuwa nimeshaitoa bandarini, truck hipo safi. dalali ama mnunuzi just pm me
0 Reactions
1 Replies
3K Views
7
0 Reactions
1 Replies
790 Views
wakuu kuna ipad one 64 gb WIFI 3g used for 1.5 month. ios 4 scratchlss best condtion just charger na cover nyeusi ya kufunika kote. najaribu kuweka picha inagoma. bei 720,000 tsh...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Black Mitsubish Cheriot Grand GDI for Sale PLease contact +255 754 320 849 or shmapunda@yahoo.com See attachment for Pictures.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau natumain wote n wazma,natafuta chumba cha kupanga mwanza mjini kiwe self,mwenye nacho pls.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima mbele wadau...!! Kama upo Arusha na unahitaji Computer Used Bomba...Tuwasiliane........ Zipo HP DC7600 (CPU 3.0GHZ, 1GB-RAM, 80GB HDD Windows 7 Ultimate) + HP 17"TFT Monitor (Flat...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA na MWENGE, Uwezo wangu wa kifedha ni shilingi 50,000/= kisiwe uswazi na ikiwezekana MWENYE NYUMBA asiwe anaishi hapo.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…