tumbo nene
Member
- Feb 26, 2012
- 9
- 2
Habari zenu wadau
s
s
you are not serious! Instead of convicing you manage to confuse. Kama una maono mazuri kupita maono yote yaliyowah kuwapo na ukashindwa kuyaweka wazi kwa watu, kuwaondolea watu mashaka ya kifikra namna ya kufikia maono hayo, kamwe usitegemee kupata mkono wa shirika. Inakuja akilini mimi kuingia garama ya vocha, chaji, muda na uchakavu wa simu kukupigia simu kwa jambo ambalo halieleweki.
Ushauri wa namna ya uzi wako ungekuwa na mvuto kama ungekidhi yafuatayo
1. Jina la ngo
2. Physical address
3. Main activities
3. Vision mission
4. Objectives and goals
5. Strategic plans
6. Current project
7. Financial sources
wengine wanaweza kuongeza. Ingekuwa na ushawishi hata mimi labda ningejiunga. Ila nw sipo tayari kupoteza vocha chaji muda na uchakavu wa simu kwa jambo ambalo halielewiki.
acha ubabishaji mkuuasante kwa maoni.nilijua maswali ya namna hii yataibuka sana ila kutokana na sababu fulani ambazo syo busara kuzitaja nimeandika kwa kifupi kama hivyo just kuokoa muda na kama suala la vocha linakutatiza usijali wewe bipu au tuma mesej then mimi ntakupigia.ningesema niweke mambo yote uloyataja ni kweli ingekuwa ni kifanisi zaidi ila nilikuwa natoa ujumbe kwa kifupi then mengine ntaelezea kwenye simu kama mtu anahtaji anitafte.hata hvo asante kwa MAONO
Siku hizi kila mbabaishaji anakimbilia kuanzisha NGO. Iwapo first lady ana NGO ukiachia mbali wachungaji matapeli kama Rwakatare Gamanywa Kakobe Lusekelo Gwajima na wengine kwanini huyu naye asijaribu. Ila namna hii mnarushisha nyuma maendeleo yenu binafsi ya taifa. Huwezi kutaka watu wakuchangie wakati hauko tayari kujibu maswali yao muhimu. Hii ni kutaka kuuzia mbuzi kwenye gunia. Na isitoshe approach yako inakuua hata kabla hujazaliwa. Msaada utakaoupata ni kukufichua kuwa u tapeli au mbabaishaji.
Acha uongo! nitajie kwa evidence jina la NGO iliyoanzishwa na askofu Kakobe. No evidence no right to speak
Vita za kidini zitaanza sasa hivi.
mkuu kuwa na heshima na imani za watu...sio kuja tu na kuziita NGO...Siku hizi kila mbabaishaji anakimbilia kuanzisha NGO. Iwapo first lady ana NGO ukiachia mbali wachungaji matapeli kama Rwakatare Gamanywa Kakobe Lusekelo Gwajima na wengine kwanini huyu naye asijaribu. Ila namna hii mnarushisha nyuma maendeleo yenu binafsi ya taifa. Huwezi kutaka watu wakuchangie wakati hauko tayari kujibu maswali yao muhimu. Hii ni kutaka kuuzia mbuzi kwenye gunia. Na isitoshe approach yako inakuua hata kabla hujazaliwa. Msaada utakaoupata ni kukufichua kuwa u tapeli au mbabaishaji.
Asigwa pole sana. Heshima ni jina langu. Maana ya NGO ni Non-Governmental Organization au Asasi Isiyo ya Kiserikali. Madhehebu ya dini ni asasi zisizo za kiserikali. Kama hujui sema uelezwe. Hata usajili wake hufuata mkondo huu wa asasi za kiraia. Je hadi hapo umeelewa? Yupo aliyeuliza swali kuwa Kakobe ana NGO gani? Inaitwa FGBF.