Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Pm me 4 more details! price 240,000/-
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Hello wana jamii, Natafuta nyumba maeneo ya sinza, mwenge, survey au kijitonyama...iwe na vyumba viwili au vitatu, sebule, jiko ofcourse na bathrooms. budget ni around 300,000Tsh Mawasilino...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
IPO PEMBEZONI MWA BARABARA YA TABATA SEGEREA KITUO CHA CCM chama segerea ina frems 5 za biashara kwa mbele na ndani wanakaa wapangaji bei ni 120mil pia kuna maelewano. contacts 0714812375...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau natafuta nyumba kwa maana sebule kwa ajili ya kupanga sehemu yoyote Morogoro,kodi iwe kati ya 50,000 - 70,000 (kwa vyote chumba na sebule) kwa mwezi,ningependelea kulipa katika mfumo wa...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Mambo vipi wakuu nilikuwa nahitaji kujua kuhusu issue ya kununua gari kwa mkopo, ambayo ni used je ni kampuni gani au kama mtu binafsi yupo na anaweza tufanye biashara kwa system hiyo naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wa JF, Naomba kujuzwa kama kuna mawakala wa Beforward(Wauza magari) hapa Tanzania. Aksanten
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu ninatafuta machine ya kukata nyama (Bones cutter machine) kwa ajili ya butcher langu. Ninaihitaji sana. Hivyo kama kuna mtu anauza au kama kuna mtu anajua zinapouzwa hada dar naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nadhani kichwa cha habari kimejimegea vya kutosha... ninakupa product ya TANZANIA na kwa bei safi! achana na product za CHINA ambazo ni nyepesi kama chandarua...! karibuni wadau... wadada...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba kujuzwa exactly bei ya ushuru(total taxes) ya kuingiza gari tajwa hapo juu kwa mtu ambaye ameingiza na sio hyo ya kukokotoa kwenye Exel sheets maana tanzania taasisi zake...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nahitaji Samsung tablet, used but on good condition... Size yoyote.
0 Reactions
0 Replies
803 Views
wana JF natafuta gari NISSAN XTRAIL iwe ni ya mwaka 2002/2003 bei iwe nzuri tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello everyone, We’re running a slogan writing contest for a games website and looking for a catchy and motivating tag line. Check out the website theme to get idea of what it should be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nauza viwanja 20 x 20 kitonga dar es salaam bei 2000000/= kila kimoja. havijapimwa vinavikika kwa barabara na ni tambarare 0754 571000
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza printer nimeitumia kama mwezi mmoja, bado ni nzima vya kutosha, ni HP inkjet A1050 inafanya kazi 3 kwa pamoja ambazo ni: Printing, Scanning na Photocopying. ​Anayeitaka ani-PM nipo dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Creative PLUS is a reliable Web Development, Website Design, Web Hosting and SEO services company in Tanzania providing professional website designing, custom web development, ethical search...
0 Reactions
1 Replies
809 Views
I have a brand new blackbery storm 1. been usin it for a short tym nw i wana push t to u. ts cheap n for u.
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Hi wana JF wote, Natafuta wanunuzi kuni za jumla. Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni. Eneo yalipo mashamba hayo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Ninauza viwanja 6 vya ukubwa wa mita 20 x 20 bei 2,000,000/= kila kimoja. Viko sehemu moja namba yangu 0754571000 au 0784551259 ni maeneo ya kitonga ukitoka mbagala unapita chamazi msongola...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza office storage cabinet(steel) aina ya lecco,kwa anayehitaji ani Pm
0 Reactions
0 Replies
962 Views
ipo buguruni karibu na reli iendayo ubungo ina nafasi kama ya mita 5o kwa 25 bei mil 35o ni pm upewe namba ya simu nipale barabara ya mnyamani
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…