Mzani
Member
- Nov 12, 2010
- 80
- 5
Salaam Wanajamii
Soko la viwanja Mtwara linakua kwa kasi ya ajabu
Kuna plot inauzwa iko Mtwara Mjini, Mtaa wa Kilimahewa
Wasifa wa Eneo
Plot ipo mita 500 kutoka kwenye mikoko/ufukweni mwa baharini
Plot inaukubwa wa zaidi ya square mita 2300 (zaidi ya nusu eka)
Sehemu kubwa ya mtaa huo haijajengwa yaani ni mashamba na mapori
Sehemu yote imepimwa na wamiliki wana hati zao
Bei ni Tsh. 15M
Wahi kabla bei hazija panda sana.
Kwa maelezo zaidi piaga no. 0784 707789
Soko la viwanja Mtwara linakua kwa kasi ya ajabu
Kuna plot inauzwa iko Mtwara Mjini, Mtaa wa Kilimahewa
Wasifa wa Eneo
Plot ipo mita 500 kutoka kwenye mikoko/ufukweni mwa baharini
Plot inaukubwa wa zaidi ya square mita 2300 (zaidi ya nusu eka)
Sehemu kubwa ya mtaa huo haijajengwa yaani ni mashamba na mapori
Sehemu yote imepimwa na wamiliki wana hati zao
Bei ni Tsh. 15M
Wahi kabla bei hazija panda sana.
Kwa maelezo zaidi piaga no. 0784 707789