Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Travel Agent from Russia looking for Hunting safari packages 7 days Package 14 days Package 21 days Package All inclusive Am a Business Development Expert and Online Marketing Expert. The...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni msichana (from Ethiopia), yupo DSM kikazi na amepanga nyumba maeneo ya Kariakoo, mtaa wa Narung'ombe. Ina 2 bedrooms, kitchen, sitting room, toilet na bafu na sitting room. Anatafta met ambaye...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Samsung Galaxy Tab 2, 10.1 64GB!! Brand New. Price:800,000Tsh PRICE IS FIRM NO NEGOTIATIONS Call or Txt For more Info:0782221405
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamaa yangu anatafuta kiwanja maeneo ya njiro kwa bei poa, please wasiliana kwa pm
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Habari wadau!!!! Kutokana na ushindani na ukosefu wa ubunifu tumejikuta watu wote tunafanya biashara moja na kunyanganyana wateja kwa hali zote mpaka kwa ndumba. Kwa kuliona hilo tunatengeneza...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mjasiriamali Deogratius kilawe Wa MIKONO Business consult(C.E.O)atazindua kitabu chake pale Holiday inn hotel ikiambatana na semina inayokwenda kwa jina "TAMBUA FURSA ZILIZOPO TANZANIA ZA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza Nokia x2-05, 1 month used.
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Natafuta used fotocopy machines, kama unafahau wanakoziuza hapa dar, please let me kno.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari nauza kiwanja Mbezi Maramba mawili njia inayokutanisha mbezi na Kinyerezi. kipo barabarani eneo zuri.kina ukubwa wa 20x20.bei maelewano Piga 0717-706259 Mbano
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hello, This is for all owners of the medium size restaurants/ hotels as well as big families. Simgas Tanzania Limited has a complete solution for you with its completely new product launched...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kiwanja kizuri kipo pembeni ya barabara kwa mujibu wa ramani. kipo eneo la Bunju A wilaya ya kinondoni. kina sqm 1,000 kimepimwa na kina hati. tunahitaji mnunuzi wa haraka bei powa ni Tsh...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana swalama? Wale wa kufunga, poleni na hongereni sana. Nina shida ya kununua farasi na kumfuga kwa Dar es salaam, ni wapi naweza pata mbegu nzuri ya farasi, kwa yoyote mwenye idea ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari zenu........naweza kupata wapi wachoraji wa tattoo kwa dar es salaam au stika zile za temporary tattoo zinauzwa wapi. Nawasilisha wadau
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimepambana na udanganyifu mkubwa wa ukusanyaji kodi unaofanywa na watu ambao siyo waaminifu kwa kutumia jina la TRA. Mwenye namba simu nambako naweza kuripoti tatizo nililokutana nalo tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
'''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Wadau ninauza gari yangu aina ya Toyota Premeo iko katika hali nzu ya mwaka 1998 nimekuwa nikiitumia kwa matumizi binafsi na regular service. Ni imara kabisa mwenye hela anitafute wiki ijayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar!Nahitaj laptop ya kununua. Iwe ni inchi 14 na ram isiwe chin ya 4gb na hdd 500gb. Iwe ni dell latitude e series, dell xps au lenovo. Tuchekiane kupitia 0753196849
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Stabilizer for fridge inatakiwa wadau mwenye info zozote anisaidie
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Mwenye eneo kurasini au karibu na hapo la heka 1 au zaidi linahitajika haraka sivibaya kutaja bei yako 0784236210
0 Reactions
2 Replies
958 Views
Am selling my iphone 3gs 8gb, good working condition, Bei 300,000 bila punguzo if ua interested call o text me on 0717416100. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…