Natafuta Gari

Donkey

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
1,431
1,448
Natafuta gari kwa yeyote anayo GX100 or premio. please i am serious need
 
Mbona unatumia Jamii kwa mambo yasiyo ya maana, vipi wewe, mi nimesema natafuta gari, we mkimbizi nini tz hujui kiswahili, kama uko low profille nenda facebook
 
Mbona unatumia Jamii kwa mambo yasiyo ya maana, vipi wewe, mi nimesema natafuta gari, we mkimbizi nini tz hujui kiswahili, kama uko low profille nenda facebook
Kiswahili ulichotumia wewe ndio kibovuna unaonekana hujui kiswahili zaidi ya uhuni tu unaleta ungeenda facebook wewe ndio panakufaa Ndugu Punda... Kuna watu wanaweka matangazo yao vizuri na yanaeleweka....

Wengine tuna magari ya aina hiyo sasa umesema unayatafuta!
na mimi nimekuuliza for what? kuwa mstaarabu.. Ficha upumbavu
 
nina toyota carina TI,rangi ya silver mpaya ipo njiani kutoka japan inafika bandarini tarehe 25/8
bei ni mil11 nimepata emergency nikatumia hela ya kutoa so if you need it welcome.you may also pm me
 
download
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom