Shule hii ina ukubwa wa eneo la heka 15. imesajiriwa na ina vibali vyote muhimu ipo kisarawe mkoani Pwani . kushoto inapakana na kanisa la kirutheri(mission) na kulia inapakana na chuo cha maendeleo . tangu imesajiriwa haijawahi kufanya udahili wowote. eneo limejengwa madarasa 2 ambayo bado hayajakamilika yapo kwenye linter na nyumba ya mlinzi 1 ambayo imekamilika na anaishi hapo. mnunuzi ataiendeleza hapo ilipo ishia hata lipa kibari chochote vibari vyote vimelipiwa kwa ajiri ya shule ( msingi au sekondari , mpaka A . lever) inauzwa sh 75,000,000 kwa mawasiliano 0657 145555. 0686 200 117 Akiri au 0655 278 278 0787 278 278 Adili.