Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Ndugu wana JF, nyumba inapangishwa maeneo ya survei, ina vyumba viwili sehemu ya jiko , self contained pamoja na sebule, gari linafika mpka barazani kwako. hakuna dalali ukinipata mie tunaandikiana mkataba unanipa wiki moja nafanya marekibisho kdgo kama kupaka rangi etc. ni shiingi laki mbili na nusu na utalipa kwa miezi sita au mwaka kadri upendavyo. anayeitaji anipigie simu 0774187012.