Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta kampuni au watu wanaoweza kufanya data recovering vizuri .kama kuna aliewahi kurudishiwa data zake na watu hao anipe mawasiliano nao.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I need to learn archicad and other interior designing software. Anyone can help me in getting a teacher urgently ? Thank you
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naitaji gari aina ya Rav 4 five doors kwa milion sita yoyote mwenye nayo anipm
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani naomba mnijuze wapi naweza pata madirisha ya alminium kwa bei nafuu Madirisha yapo kumi na tatu yana ukubwa wa 5 kwa 6 feet, na 2 kwa3 yapo manne
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Wadau naomba mnijuze wapi naweza pata fundi wa kubadilisha Navigator itumike kama DVD.
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Wadau mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenye nauza nyumba yangu ambayo iko kwenye stage ya kupauliwa ukubwa wa kiwanja ni 20X34 iko juu mlimani kidogo bei inaanzia 24.5mil unaweza nipigia 0754432409
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kiwanja kikubwa chenye ukubwa wa sqm 656 kipo buyuni, kimepimwa na kina hati ya miaka 99, pia ada zake zote zimelipiwa. Kimezungukwa na nyumba mpya za shirika la PSPF. Ni kizuri sana kipo jirani...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Residential room wanted(furnished or unfurnished) vigezo vyangu umeme wa LUKU pawe karibu na mjini maji ya uhakika Rent will always be paid on time. kuhusu mimi friendly ni mfanyakazi single...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Toyota prado ya 2001, millage 90,000 ipo katika hari nzuri sana. bei 29m. tuwasiliane 0657 1455555 & 0755 099 291
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Morroco katika wilaya ya kinondoni, kiwanja No 69 Block 45 Sqm 1046. Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba 0714 169292
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) na aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
0 Reactions
50 Replies
9K Views
Nimetumwa kutangazia mtu nyumba yake ipo KINYEREZI Vipimo ni Urefu wa Meter 21 Na upana Meter 11 Bei ni TShs. 15 Milion Nyumba ina vyumba viwili vya kulala, baraza au sitting room na choo kimoja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
simu imetumika kwa takribani mwezi mmoja, ni kama bado mpya tu, ina charger, headphones, cd yake pamoja na cover. nicheck kwa 0715841111​
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangaza Marketing Solutions(TMS): Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions: Lengo kuu ni kuwasaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kujua Wateja wao na Wateja kujua huduma...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Make: Scania Model: 113 H HP: 380 Year: 1993 Km.: 870.000 Configuration: 6X4 Bei: Tsh Mil 48 CIF Tsh Mil 38
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Imetumika miezi saba hadi sasa. Inatoka @550,000. Anayehitaji tuwasiliane PM
1 Reactions
0 Replies
815 Views
Scania 94 hp 260 Year of manufacture : 2004 Tone: 20 Rigid R Axle 3, flat board fiber Price : 55ml or 75ml The cargo truck is in the Dar es salaam Port . if u buy in the port 55ml and without...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninatafuta mwalimu hasa mwenye uwezo wa kumfuata nyumbani kwangu Kumfundisha masomo ya O level binti yangu awe mzoefu tafadhali Awasiliane nami kwa email: ak_abduel@yahoo.com karibuni ila mtu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nahitaji mashine yakufyatulia matofali mpy au used sawa tu ilhali iwe kwenye hali nzuri nahitaji sana,sio ya umeme. mwenye nayo PM tu au weka na bei na ikiwwezekana picha nitafurahi sana ,nahitaj...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Sumsung Nexus 16GB Android v.4.1.1 Colour black Full box + Accessories Used for only 3 month , Price Tsh . 680,000/= Contact person Akili 0657 145555 & 0755 099 291
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…