Toyota hiace super roof inahitajika

Da Womanizer

JF-Expert Member
May 24, 2010
1,577
148
Kama kuna mtu yeyote anayemiliki gari niliyotaja hapo juu iliyo kwenye hali nzuri na anafikiria kuiuza naomba anijulishe.
Angalizo: Bei isizidi Tshs 11,000,000/=
 
Kama kuna mtu yeyote anayemiliki gari niliyotaja hapo juu iliyo kwenye hali nzuri na anafikiria kuiuza naomba anijulishe.
Angalizo: Bei isizidi Tshs 11,000,000/=

ipo moja katika hali nzuri tu na inapiga mzigo kigamboni mpaka sasa. fully registered and insured, ni tzs 8M tu. Ni-PM
 
Hiace ya bei hiyo haiwezi Kuwa ktk Hali nzuri...Inategemea Kama ni manual au auto,petrol au disel nk...lakini kwa 10ml hiace dungu ni ngumu kuipata labda ya Mwaka 1995
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom