kwelakenya
Member
- Jan 21, 2010
- 59
- 6
[h=5]Kwa wanaofanya kazi NSSF, i got like 2 mil. kwenye NSSF yangu. Kwa atakae weza kunitolea he/she gets 50%[/h]
kwa wanaofanya kazi nssf, i got like 2 mil. Kwenye nssf yangu. Kwa atakae weza kunitolea he/she gets 50%
Acha upuuzi wewe, it takes 2 weeks to get your money.
Duh sio chini ya miezi sita kisheria.
"Only two things are infinite, the universe and human stupidity , and I'm not sure about the former."Kwa wanaofanya kazi NSSF, i got like 2 mil. kwenye NSSF yangu. Kwa atakae weza kunitolea he/she gets 50%
mkuu unatakiwa miez 6 tangu ulipoacha kazi ndo unaruhusiwa kuchukua pesa yako ktk hali ya kawaida.Duh sio chini ya miezi sita kisheria.
mkuu kuchukua pesa zako haziitaji uwe na smart card,kwa akili ya kawaida ni vigumu kumuelewa mtoa thread, km umewahi kufanya hizi pilika pilika za nssf hutashangaa kwa hili, NSSF pameoza!niliomba kadi mpya ya smart card ya NSSF pale ILALA (saiv wapo k.koo) kwa njia halali (bila kutoa rushwa) tangu juma tatu ya tarehe 30.01.2012 lakin mpaka leo sijaipata hii kadi na lengo langu nilitaka nikishaichukua hiyo kadi nitoe pesa yangu lakisi saiv natamani nimpe jamaa hata 50,000/= afanye fasta.
mkuu kuchukua pesa zako haziitaji uwe na smart card,
Kwa wanaofanya kazi NSSF, i got like 2 mil. kwenye NSSF yangu. Kwa atakae weza kunitolea he/she gets 50%
"Only two things are infinite, the universe and human stupidity , and I'm not sure about the former."
-Albert Einstein
mkuu kuchukua pesa zako haziitaji uwe na smart card,
mkuu kuchukua pesa zako haziitaji uwe na smart card,
Mikanganyiko kila mahali sasa, unahitaji miezi sita baada ya kuacha kazi kuchukua hela yako ama unapoacha kazi ukaprocess hela yako ni ndani ya miezi sita tu unapata chakomkuu unatakiwa miez 6 tangu ulipoacha kazi ndo unaruhusiwa kuchukua pesa yako ktk hali ya kawaida.
huyu mtoa maada hajaweka detail km bado anaendelea na mzigo au la.
Pia tusiendekeze rrushwa kila mahali, hii itasababisha kupoteza pesa nyingi bila sababu.
Mf huyu jamaa ana mil 2, lkn anatupa 1 mill bila sababu,
kama ana vile vitambulisho vya zaman unakula mzigo.KWeli? Una uhakika? Umetumia "mbinu" gani. Elewesha tafadhali..