Rav4 Hiyoo??!!! Mi nasepa!

Rav4 Hiyoo??!!! Mi nasepa!

Diga Diga

Senior Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
187
Reaction score
65
Wadau,

Nimepata scholarship ya kwenda nje kusoma. Nitaondoka tarehe 02 December hivyo nimeamua kuweka sokoni usafiri wangu. Details zake ni:-
  • Toyota Rav4
  • Manual Transmission
  • Year of Manufacture: 1998
  • Mileage: 103,000km
  • Engine size: 1998cc
  • Condition: Engine and chassis still intact (i.e. tangu iingizwe nchini mwaka 2005 kutoka Japan haijawahi kufunguliwa engine). Imelipiwa M/Vehicle Licence fee na Third Party Insurance premium hadi May, 2013
  • Price: Negotiable
Kama utakuwa unahitaji tafadhali ni-pm au nitumie sms tu kupitia 0758762801. Karibuni!
 

Attachments

  • Front View.JPG
    Front View.JPG
    148.3 KB · Views: 125
  • Front View2.JPG
    Front View2.JPG
    134.8 KB · Views: 100
  • Inside View.JPG
    Inside View.JPG
    126.6 KB · Views: 82
  • Inside View2.JPG
    Inside View2.JPG
    131.1 KB · Views: 74
  • Side View.JPG
    Side View.JPG
    108.7 KB · Views: 83
  • Side View2.JPG
    Side View2.JPG
    144.8 KB · Views: 75
Hongera! Mimi nina milioni 4 cash vp nikutumie sms uko tayar tumalizane
 
Ebwana mimi nina m.6.kamili..sms 0782-44-84-63.very much interested

Nimepata scholarship ya kwenda nje kusoma. Nitaondoka tarehe 02 December hivyo nimeamua kuweka sokoni usafiri wangu. Details zake ni:-
  • Toyota Rav4
  • Manual Transmission
  • Year of Manufacture: 1998
  • Mileage: 103,000km
  • Engine size: 1998cc
  • Condition: Engine and chassis still intact (i.e. tangu iingizwe nchini mwaka 2005 kutoka Japan haijawahi kufunguliwa engine). Imelipiwa M/Vehicle Licence fee na Third Party Insurance premium hadi May, 2013
  • Price: Negotiable
Kama utakuwa unahitaji tafadhali ni-pm au nitumie sms tu kupitia 0758762801. Karibuni![/QUOTE]
 
Hongera! Mimi nina milioni 4 cash vp nikutumie sms uko tayar tumalizane
Hiyo sio Corolla mkuu, ni RAV4 tena milango mitano. Vinginevyo nikuunganishe kwa jamaa yangu anauza Nissan Sunny saloon car kwa TZS 4.5m/= na ni nzima kabisa.
 
2012-2005=7yrs?...ndani ya bongo? tazama upya bei! mtu akiongeza 3m ana kitu murwaa japo uzdi!
 
2012-2005=7yrs?...ndani ya bongo? tazama upya bei! mtu akiongeza 3m ana kitu murwaa japo uzdi!
And after all, between 2005 and 2012 ilikuwa ikitumiwa na Mama mmoja lecturer wa UDSM hivyo matumizi yake hapa Bongo hayakuwa makubwa sana kama unavyodhania.
 
Back
Top Bottom