Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

htc one x special edition for beats by dr dre,it is brand new in box with beats by dr dre earphone,charger for charging,usb wire,crystal case,screen protector and sim card ejector.am selling this...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Natafuta nyumba chakavu in Dar ambayo iko barabarani kwenye mzunguko waa watu wengi ambapo unaweza kufungua biashara, Chaa msingi iwe sehemu Nzuri ambapo badae unaweza kujenga naa kuweka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Neo N02-m Mtk6577 1Ghz 1GB ram 4GB rom 4.3" IPS display Android 4.0 Icecream Sandwich Dual standby 8mp, 2mp dual camera New 420000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
USED LISTERPETTER 27KVA UK GENERATOR Price: $US 8,000 HI ALL IM SELLING USED UK LISTER PETTER 27KVA GENERATOR WITH THE FOLLOWING SPECIFICATION 21KW AMPS 37 V 415 3...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza samsung galaxy s2, used, imetumika miezi mitano. Inakuja na accessory zote plus screenguard na black cover, haina scratches kwenye screen. Bei tsh 560000. Kama uko interested nipm, au...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Tunauza mayai ya jumla na rejareja. Tupo sinza makaburini-dar es salaam. Bei poa kabisa. Wahi sasa''
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yard ya kuuzia magari ina ofisi ya vyumba 3 pamoja na viti na meza zake na choo na store pamoja na flem kubwa kwa mbele eneo la kuengesha magari ya kuuza magari 20 mpka 25 kwa wakati mmoja...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wauzaji wa kampuni ya kuuza mazao ya asili ndosa mmari supply wanayo furaha kukutaarifu ya kwamba wanatoa punguzo kwa bidhaa yao ya mafuta ya ubuyu.. Kwa mawasiliano: +255716955722...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana JF,naamini ya kumu ni wazima na MUNGU anaendelea kuwajalia,kama nilivoeleza hapo juu,Mtu unaweza kuwa na ndoto flani zako ili utimize ila unashindwa kutokana na sababu flani, nasema...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Naandika mashairi na tenzi zenye vina na mizani kwa shughuli tofaut kama sherehe ya harusi, kipaimara, ekaristi, ubatizo, send off, birthday, nk. Mashairi ya faraja, mapenzi, ujasiri nk. Bei ni...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nauza VOLKSWAGEN PASSAT 2001 MODEL. Gari lipo katika hali nzuri Comprehensive Insurance till November 2013. The car is available for test drive. Gari imeingia nchini March 2011, Namba zinaanza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nilikuwa na kuku wa nyama (wa kisasa) 500 nimeuza wamebaki 150.bei yangu ni Tsh 4500 each.Wanauzito wa wastani si wadogo (Sijapima uzito wao).kama unahitaji ni pm au piga no.0763953759...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Huwezi amini lakini ndio hivyo tena,kwa wale wenye pesa zao na wanahitaji kupamba vyumba vyao kwa kuweka kapeti ktk ukuta basi tupo kwa ajili yenu,bei zetu ni nzuri usisite kuwasiliana nasi...
3 Reactions
26 Replies
18K Views
Habari, Natafuta housemate Nimepata nyumba kijitonyama, mtaa wa kakobe (mtaa 1 kabla ya barabara ya Africa sana - K'nyama) mita 100 kutoka barabara ya science- mtogole...natafuta housemate...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jumba lipo Temeke, Mbagara maji matitu lina sifa zifuatazo km 2 toka barabarani na km 22 toka posta mpya kumbuka ujenzi wa barabara ya kisasa unaendelea umeme maji vipo chini tiles juu qypsum...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Ndugu wanaJF Kuna mtu anataka kuniuzia Galaxy Tab Model GTP1000M IC. 649E iko poa au? msaada wenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Wakubwa nauza toyota camry ya mwaka 1998,namba inaanzia b,imeingia nchini mwaka 2010,bei ni sh milioni tano na nusu,cc 1998,engine ni 4s
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninahitaji corolla spacio new model haraka sana.Cha msingi gari iwe kwenye hali nzuri na offer yangu haizidi 9M.Kama unayo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:0714652377 au 0768224663.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza suzuki aerio, ipo kwenye hali nzuri sana bei ni sh 9,million namba zake zinaanzia C, picha will coming soon.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetumia 6 months, haina dosari, bei 60,000 tu. Contact 0714-408238.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…