Chukua nyumba hii kwabei yachini kabisa.

Chukua nyumba hii kwabei yachini kabisa.

Death after life

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2021
Posts
379
Reaction score
424
Hii nyumba inauzwa kwabei nafuu sana..ipo wilaya yamkuranga kijiji cha mwanadilatu iko kalibu sana na barabara.kwakutokea kitonga dar es saam kufika ilipo nyumba nidakika10 kwa bodaboda..nyumba inavyumba3 kimoja ni master,umeme umefika nanyumba tayari imeshafanyiwa WAYALING..bei mil10 tuu.
Kwamawasiliano zaidi nichek kwanamba hii
0623820550
0743840595
HAKUNA DALALI.
IMG_20210718_163859.jpg
IMG_20210718_163841.jpg
IMG_20210718_163818.jpg
 
Mkuu ukubwa wakiwanja ni futi60 kwa 60 hivo pale unaeza kujenga banda nzuri lakuku.
 
Ungeweka na picha za ndani aisee..
 
Hii nyumba inauzwa kwabei nafuu sana..ipo wilaya yamkuranga kijiji cha mwanadilatu iko kalibu sana na barabara


Gezaulole Mama gezaulole Baba ,Gezaulole ,Kibugumo na mwanadilatu Makao Mapya!! Biashara ya Njugu na Korosho haitufai.
 
Back
Top Bottom